Grade 5 Kiswahili – Methali Zinazohusu Bidii Quiz

1. Mchumia juani,hulia ..............

kwake
shambani
nyumbani
kivulini
Explanation:

2. Mtaka cha mvunguni .............

sharti ainame
shati ainame
sharti ainamilie
sharti ainuke
Explanation:

3. Kamilisha methali; Ajizi___

nyumba ya faraja
ajuza
nyumba ya njaa
mle
Explanation:

4. Kamilisha methali; Mtegemea cha duguye

huushi milele
hufa maskini
hufaulu
hupata yote
Explanation:

5. Kamilisha methali; Mchagua jembe__

hulima vyema
si mkulima
hajui kulima
hupata nzuri
Explanation:

6. Kamilisha methali; Ukuina vyaelea,___

jua vimeundwa
sio vyako
vimeng'aa sana
chunga sana
Explanation:

7. Kamilisha methali Ahadi ni

ahidi
hutimizwa
deni
njema
Explanation:

8. Kamilisha methali Atafutaye___

hukosa
hupata
huchoka sana
hachoki
Explanation:

9. Kamilisha methali; Mchumia juani___

hulia kivulini
hupumzika
huchumia pia kivulini
hujaza kikapu
Explanation:

10. Kamilisha methali; Mgaagaa na upwa____

hali wali mkavu
hula mbichi
hulia kivulini
hula mbivu
Explanation:

11. Kamilisha methali; Mtaka cha mvunguni___

hupata cha juu
hawezi pata
sharti aketi
Sharti ainame
Explanation:

12. Kamilisha methali Mpanda ovyo

hupata vyote
huvuna mbichi
huvuna mbivu
hula ovyo
Explanation:

13. Kamilisha methali: Atanguliaye kisimani___

hunywa maji maenge
ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji mengi
Explanation:

14. Kamilisha methali; Tahadhali kabla ya ___

kuenda
adhari
hatari
tahadhari
Explanation:

15. Kamilisha methali; Achanikaye kwenye mpini

hufa njaa
hafi njaa
hulia kuvulini
hutia bidii
Explanation:

16. Kamilisha methali; Kweda bure

ni mzururaji
si kukaa bure
hurudi bure
Hawezo kaa bure
Explanation:

17. Kamilisha methali; Chanda chema___

ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
huvikwa pete
ni kifupi
Explanation:

18. Kamilisha methali; Atangaye sana na jua

hafi maskini
hujua
hulia kivulini
hula mbivu
Explanation:

19. Kamilisha methali; Baada ya dhiki ___

hufa maskini
mavuno
faraja
hula mbivu
Explanation:

20. Kamilisha methali; Kupanda mchongoma

huanguka
ni kazi ngumu
kuchuma ngoma
kushuka ndio ngoma
Explanation:

21. Kamilisha methali; Biashara__

asubuhi
ni nzuri
mchana
jioni
Explanation:

22. Kamilisha methali; Haba na haba

hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
ni nzuri
hababui
Explanation:

23. Kamilisha methali; Chelewa Chelewa___

utampata mwana zi wako
utapigwa faini
hutafika
ni tambia mbaya
Explanation:

24. Kamilisha methali; Usipoziba ufa, __

utajenga ukuta
utabomokewa
hakuna wa kujenga
utabomoka
Explanation: