1. Mchumia juani,hulia ..............
kwake
shambani
nyumbani
kivulini
2. Mtaka cha mvunguni .............
sharti ainame
shati ainame
sharti ainamilie
sharti ainuke
3. Kamilisha methali;
Ajizi___
nyumba ya faraja
ajuza
nyumba ya njaa
mle
4. Kamilisha methali;
Mtegemea cha duguye
huushi milele
hufa maskini
hufaulu
hupata yote
5. Kamilisha methali;
Mchagua jembe__
hulima vyema
si mkulima
hajui kulima
hupata nzuri
6. Kamilisha methali;
Ukuina vyaelea,___
jua vimeundwa
sio vyako
vimeng'aa sana
chunga sana
7. Kamilisha methali
Ahadi ni
ahidi
hutimizwa
deni
njema
8. Kamilisha methali
Atafutaye___
hukosa
hupata
huchoka sana
hachoki
9. Kamilisha methali;
Mchumia juani___
hulia kivulini
hupumzika
huchumia pia kivulini
hujaza kikapu
10. Kamilisha methali;
Mgaagaa na upwa____
hali wali mkavu
hula mbichi
hulia kivulini
hula mbivu
11. Kamilisha methali;
Mtaka cha mvunguni___
hupata cha juu
hawezi pata
sharti aketi
Sharti ainame
12. Kamilisha methali
Mpanda ovyo
hupata vyote
huvuna mbichi
huvuna mbivu
hula ovyo
13. Kamilisha methali:
Atanguliaye kisimani___
hunywa maji maenge
ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji mengi
14. Kamilisha methali;
Tahadhali kabla ya ___
kuenda
adhari
hatari
tahadhari
15. Kamilisha methali;
Achanikaye kwenye mpini
hufa njaa
hafi njaa
hulia kuvulini
hutia bidii
16. Kamilisha methali;
Kweda bure
ni mzururaji
si kukaa bure
hurudi bure
Hawezo kaa bure
17. Kamilisha methali;
Chanda chema___
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
huvikwa pete
ni kifupi
18. Kamilisha methali;
Atangaye sana na jua
hafi maskini
hujua
hulia kivulini
hula mbivu
19. Kamilisha methali;
Baada ya dhiki ___
hufa maskini
mavuno
faraja
hula mbivu
20. Kamilisha methali;
Kupanda mchongoma
huanguka
ni kazi ngumu
kuchuma ngoma
kushuka ndio ngoma
21. Kamilisha methali;
Biashara__
asubuhi
ni nzuri
mchana
jioni
22. Kamilisha methali;
Haba na haba
hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
ni nzuri
hababui
23. Kamilisha methali;
Chelewa Chelewa___
utampata mwana zi wako
utapigwa faini
hutafika
ni tambia mbaya
24. Kamilisha methali;
Usipoziba ufa, __
utajenga ukuta
utabomokewa
hakuna wa kujenga
utabomoka