Grade 5 Kiswahili – Methali Zinazohusu Bidii Quiz

1. Mchumia juani,hulia ..............

shambani
kwake
kivulini
nyumbani
Explanation:

2. Mtaka cha mvunguni .............

sharti ainame
sharti ainuke
shati ainame
sharti ainamilie
Explanation:

3. Kamilisha methali; Ajizi___

nyumba ya faraja
ajuza
mle
nyumba ya njaa
Explanation:

4. Kamilisha methali; Mtegemea cha duguye

huushi milele
hufaulu
hupata yote
hufa maskini
Explanation:

5. Kamilisha methali; Mchagua jembe__

si mkulima
hupata nzuri
hajui kulima
hulima vyema
Explanation:

6. Kamilisha methali; Ukuina vyaelea,___

jua vimeundwa
vimeng'aa sana
chunga sana
sio vyako
Explanation:

7. Kamilisha methali Ahadi ni

deni
ahidi
hutimizwa
njema
Explanation:

8. Kamilisha methali Atafutaye___

hachoki
hukosa
huchoka sana
hupata
Explanation:

9. Kamilisha methali; Mchumia juani___

hujaza kikapu
huchumia pia kivulini
hupumzika
hulia kivulini
Explanation:

10. Kamilisha methali; Mgaagaa na upwa____

hulia kivulini
hula mbivu
hali wali mkavu
hula mbichi
Explanation:

11. Kamilisha methali; Mtaka cha mvunguni___

Sharti ainame
hawezi pata
sharti aketi
hupata cha juu
Explanation:

12. Kamilisha methali Mpanda ovyo

hula ovyo
huvuna mbivu
hupata vyote
huvuna mbichi
Explanation:

13. Kamilisha methali: Atanguliaye kisimani___

hunywa maji maenge
hunywa maji mengi
hupata maji mengi
ni mqenye bidii
Explanation:

14. Kamilisha methali; Tahadhali kabla ya ___

kuenda
tahadhari
hatari
adhari
Explanation:

15. Kamilisha methali; Achanikaye kwenye mpini

hutia bidii
hufa njaa
hafi njaa
hulia kuvulini
Explanation:

16. Kamilisha methali; Kweda bure

si kukaa bure
ni mzururaji
Hawezo kaa bure
hurudi bure
Explanation:

17. Kamilisha methali; Chanda chema___

huvikwa pete
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
ni kifupi
Explanation:

18. Kamilisha methali; Atangaye sana na jua

hujua
hafi maskini
hula mbivu
hulia kivulini
Explanation:

19. Kamilisha methali; Baada ya dhiki ___

mavuno
hufa maskini
faraja
hula mbivu
Explanation:

20. Kamilisha methali; Kupanda mchongoma

ni kazi ngumu
huanguka
kushuka ndio ngoma
kuchuma ngoma
Explanation:

21. Kamilisha methali; Biashara__

ni nzuri
jioni
asubuhi
mchana
Explanation:

22. Kamilisha methali; Haba na haba

ni kidogo kidogo
hababui
ni nzuri
hujaza kibaba
Explanation:

23. Kamilisha methali; Chelewa Chelewa___

utapigwa faini
utampata mwana zi wako
ni tambia mbaya
hutafika
Explanation:

24. Kamilisha methali; Usipoziba ufa, __

utabomoka
utabomokewa
utajenga ukuta
hakuna wa kujenga
Explanation: