1. Mchumia juani,hulia ..............
kwake
kivulini
nyumbani
shambani
2. Mtaka cha mvunguni .............
sharti ainuke
sharti ainamilie
shati ainame
sharti ainame
3. Kamilisha methali;
Ajizi___
mle
nyumba ya njaa
ajuza
nyumba ya faraja
4. Kamilisha methali;
Mtegemea cha duguye
hufa maskini
huushi milele
hupata yote
hufaulu
5. Kamilisha methali;
Mchagua jembe__
si mkulima
hajui kulima
hupata nzuri
hulima vyema
6. Kamilisha methali;
Ukuina vyaelea,___
vimeng'aa sana
chunga sana
sio vyako
jua vimeundwa
7. Kamilisha methali
Ahadi ni
deni
ahidi
njema
hutimizwa
8. Kamilisha methali
Atafutaye___
hukosa
hachoki
huchoka sana
hupata
9. Kamilisha methali;
Mchumia juani___
hupumzika
hujaza kikapu
huchumia pia kivulini
hulia kivulini
10. Kamilisha methali;
Mgaagaa na upwa____
hula mbichi
hali wali mkavu
hula mbivu
hulia kivulini
11. Kamilisha methali;
Mtaka cha mvunguni___
hawezi pata
sharti aketi
hupata cha juu
Sharti ainame
12. Kamilisha methali
Mpanda ovyo
hula ovyo
huvuna mbichi
huvuna mbivu
hupata vyote
13. Kamilisha methali:
Atanguliaye kisimani___
ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji mengi
hunywa maji maenge
14. Kamilisha methali;
Tahadhali kabla ya ___
tahadhari
adhari
hatari
kuenda
15. Kamilisha methali;
Achanikaye kwenye mpini
hutia bidii
hafi njaa
hufa njaa
hulia kuvulini
16. Kamilisha methali;
Kweda bure
hurudi bure
si kukaa bure
ni mzururaji
Hawezo kaa bure
17. Kamilisha methali;
Chanda chema___
huvikwa pete
ni kifupi
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
18. Kamilisha methali;
Atangaye sana na jua
hafi maskini
hula mbivu
hulia kivulini
hujua
19. Kamilisha methali;
Baada ya dhiki ___
hula mbivu
mavuno
faraja
hufa maskini
20. Kamilisha methali;
Kupanda mchongoma
kuchuma ngoma
huanguka
kushuka ndio ngoma
ni kazi ngumu
21. Kamilisha methali;
Biashara__
mchana
asubuhi
jioni
ni nzuri
22. Kamilisha methali;
Haba na haba
ni nzuri
hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
hababui
23. Kamilisha methali;
Chelewa Chelewa___
utapigwa faini
hutafika
utampata mwana zi wako
ni tambia mbaya
24. Kamilisha methali;
Usipoziba ufa, __
hakuna wa kujenga
utajenga ukuta
utabomokewa
utabomoka