1. Mchumia juani,hulia ..............
shambani
kwake
kivulini
nyumbani
2. Mtaka cha mvunguni .............
sharti ainame
sharti ainuke
shati ainame
sharti ainamilie
3. Kamilisha methali;
Ajizi___
nyumba ya faraja
ajuza
mle
nyumba ya njaa
4. Kamilisha methali;
Mtegemea cha duguye
huushi milele
hufaulu
hupata yote
hufa maskini
5. Kamilisha methali;
Mchagua jembe__
si mkulima
hupata nzuri
hajui kulima
hulima vyema
6. Kamilisha methali;
Ukuina vyaelea,___
jua vimeundwa
vimeng'aa sana
chunga sana
sio vyako
7. Kamilisha methali
Ahadi ni
deni
ahidi
hutimizwa
njema
8. Kamilisha methali
Atafutaye___
hachoki
hukosa
huchoka sana
hupata
9. Kamilisha methali;
Mchumia juani___
hujaza kikapu
huchumia pia kivulini
hupumzika
hulia kivulini
10. Kamilisha methali;
Mgaagaa na upwa____
hulia kivulini
hula mbivu
hali wali mkavu
hula mbichi
11. Kamilisha methali;
Mtaka cha mvunguni___
Sharti ainame
hawezi pata
sharti aketi
hupata cha juu
12. Kamilisha methali
Mpanda ovyo
hula ovyo
huvuna mbivu
hupata vyote
huvuna mbichi
13. Kamilisha methali:
Atanguliaye kisimani___
hunywa maji maenge
hunywa maji mengi
hupata maji mengi
ni mqenye bidii
14. Kamilisha methali;
Tahadhali kabla ya ___
kuenda
tahadhari
hatari
adhari
15. Kamilisha methali;
Achanikaye kwenye mpini
hutia bidii
hufa njaa
hafi njaa
hulia kuvulini
16. Kamilisha methali;
Kweda bure
si kukaa bure
ni mzururaji
Hawezo kaa bure
hurudi bure
17. Kamilisha methali;
Chanda chema___
huvikwa pete
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
ni kifupi
18. Kamilisha methali;
Atangaye sana na jua
hujua
hafi maskini
hula mbivu
hulia kivulini
19. Kamilisha methali;
Baada ya dhiki ___
mavuno
hufa maskini
faraja
hula mbivu
20. Kamilisha methali;
Kupanda mchongoma
ni kazi ngumu
huanguka
kushuka ndio ngoma
kuchuma ngoma
21. Kamilisha methali;
Biashara__
ni nzuri
jioni
asubuhi
mchana
22. Kamilisha methali;
Haba na haba
ni kidogo kidogo
hababui
ni nzuri
hujaza kibaba
23. Kamilisha methali;
Chelewa Chelewa___
utapigwa faini
utampata mwana zi wako
ni tambia mbaya
hutafika
24. Kamilisha methali;
Usipoziba ufa, __
utabomoka
utabomokewa
utajenga ukuta
hakuna wa kujenga