Grade 5 Kiswahili – Methali Zinazohusu Bidii Quiz

1. Mchumia juani,hulia ..............

shambani
kwake
nyumbani
kivulini
Explanation:

2. Mtaka cha mvunguni .............

sharti ainamilie
sharti ainame
shati ainame
sharti ainuke
Explanation:

3. Kamilisha methali; Ajizi___

ajuza
mle
nyumba ya njaa
nyumba ya faraja
Explanation:

4. Kamilisha methali; Mtegemea cha duguye

hupata yote
hufaulu
huushi milele
hufa maskini
Explanation:

5. Kamilisha methali; Mchagua jembe__

hajui kulima
si mkulima
hulima vyema
hupata nzuri
Explanation:

6. Kamilisha methali; Ukuina vyaelea,___

sio vyako
chunga sana
jua vimeundwa
vimeng'aa sana
Explanation:

7. Kamilisha methali Ahadi ni

njema
deni
ahidi
hutimizwa
Explanation:

8. Kamilisha methali Atafutaye___

hupata
hukosa
huchoka sana
hachoki
Explanation:

9. Kamilisha methali; Mchumia juani___

hujaza kikapu
hulia kivulini
hupumzika
huchumia pia kivulini
Explanation:

10. Kamilisha methali; Mgaagaa na upwa____

hula mbivu
hulia kivulini
hali wali mkavu
hula mbichi
Explanation:

11. Kamilisha methali; Mtaka cha mvunguni___

Sharti ainame
hupata cha juu
hawezi pata
sharti aketi
Explanation:

12. Kamilisha methali Mpanda ovyo

hula ovyo
huvuna mbichi
hupata vyote
huvuna mbivu
Explanation:

13. Kamilisha methali: Atanguliaye kisimani___

hunywa maji mengi
ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji maenge
Explanation:

14. Kamilisha methali; Tahadhali kabla ya ___

hatari
kuenda
adhari
tahadhari
Explanation:

15. Kamilisha methali; Achanikaye kwenye mpini

hutia bidii
hulia kuvulini
hufa njaa
hafi njaa
Explanation:

16. Kamilisha methali; Kweda bure

Hawezo kaa bure
hurudi bure
ni mzururaji
si kukaa bure
Explanation:

17. Kamilisha methali; Chanda chema___

ni cha kati ni cha kwanza
huvikwa pete
ni kizuri
ni kifupi
Explanation:

18. Kamilisha methali; Atangaye sana na jua

hula mbivu
hujua
hafi maskini
hulia kivulini
Explanation:

19. Kamilisha methali; Baada ya dhiki ___

hula mbivu
mavuno
hufa maskini
faraja
Explanation:

20. Kamilisha methali; Kupanda mchongoma

huanguka
kushuka ndio ngoma
ni kazi ngumu
kuchuma ngoma
Explanation:

21. Kamilisha methali; Biashara__

ni nzuri
jioni
asubuhi
mchana
Explanation:

22. Kamilisha methali; Haba na haba

hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
hababui
ni nzuri
Explanation:

23. Kamilisha methali; Chelewa Chelewa___

ni tambia mbaya
utapigwa faini
hutafika
utampata mwana zi wako
Explanation:

24. Kamilisha methali; Usipoziba ufa, __

utajenga ukuta
utabomoka
hakuna wa kujenga
utabomokewa
Explanation:

🔐 Login Required

Login to attempt quizzes and track your performance

Login