Grade 5 Kiswahili – Methali Zinazohusu Bidii Quiz

1. Mchumia juani,hulia ..............

kivulini
shambani
kwake
nyumbani
Explanation:

2. Mtaka cha mvunguni .............

sharti ainamilie
shati ainame
sharti ainuke
sharti ainame
Explanation:

3. Kamilisha methali; Ajizi___

mle
ajuza
nyumba ya njaa
nyumba ya faraja
Explanation:

4. Kamilisha methali; Mtegemea cha duguye

hufaulu
hufa maskini
huushi milele
hupata yote
Explanation:

5. Kamilisha methali; Mchagua jembe__

hulima vyema
si mkulima
hajui kulima
hupata nzuri
Explanation:

6. Kamilisha methali; Ukuina vyaelea,___

jua vimeundwa
vimeng'aa sana
chunga sana
sio vyako
Explanation:

7. Kamilisha methali Ahadi ni

ahidi
hutimizwa
njema
deni
Explanation:

8. Kamilisha methali Atafutaye___

hachoki
hukosa
huchoka sana
hupata
Explanation:

9. Kamilisha methali; Mchumia juani___

hujaza kikapu
huchumia pia kivulini
hulia kivulini
hupumzika
Explanation:

10. Kamilisha methali; Mgaagaa na upwa____

hulia kivulini
hula mbichi
hali wali mkavu
hula mbivu
Explanation:

11. Kamilisha methali; Mtaka cha mvunguni___

hupata cha juu
sharti aketi
Sharti ainame
hawezi pata
Explanation:

12. Kamilisha methali Mpanda ovyo

hula ovyo
hupata vyote
huvuna mbichi
huvuna mbivu
Explanation:

13. Kamilisha methali: Atanguliaye kisimani___

hunywa maji mengi
ni mqenye bidii
hunywa maji maenge
hupata maji mengi
Explanation:

14. Kamilisha methali; Tahadhali kabla ya ___

adhari
tahadhari
hatari
kuenda
Explanation:

15. Kamilisha methali; Achanikaye kwenye mpini

hulia kuvulini
hufa njaa
hafi njaa
hutia bidii
Explanation:

16. Kamilisha methali; Kweda bure

hurudi bure
ni mzururaji
Hawezo kaa bure
si kukaa bure
Explanation:

17. Kamilisha methali; Chanda chema___

huvikwa pete
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
ni kifupi
Explanation:

18. Kamilisha methali; Atangaye sana na jua

hulia kivulini
hula mbivu
hujua
hafi maskini
Explanation:

19. Kamilisha methali; Baada ya dhiki ___

faraja
hufa maskini
hula mbivu
mavuno
Explanation:

20. Kamilisha methali; Kupanda mchongoma

ni kazi ngumu
huanguka
kushuka ndio ngoma
kuchuma ngoma
Explanation:

21. Kamilisha methali; Biashara__

jioni
asubuhi
ni nzuri
mchana
Explanation:

22. Kamilisha methali; Haba na haba

ni nzuri
ni kidogo kidogo
hujaza kibaba
hababui
Explanation:

23. Kamilisha methali; Chelewa Chelewa___

utampata mwana zi wako
ni tambia mbaya
hutafika
utapigwa faini
Explanation:

24. Kamilisha methali; Usipoziba ufa, __

utajenga ukuta
hakuna wa kujenga
utabomokewa
utabomoka
Explanation:

🔐 Login Required

Login to attempt quizzes and track your performance

Login