1. Mchumia juani,hulia ..............
shambani
kwake
nyumbani
kivulini
2. Mtaka cha mvunguni .............
sharti ainamilie
sharti ainame
shati ainame
sharti ainuke
3. Kamilisha methali;
Ajizi___
ajuza
mle
nyumba ya njaa
nyumba ya faraja
4. Kamilisha methali;
Mtegemea cha duguye
hupata yote
hufaulu
huushi milele
hufa maskini
5. Kamilisha methali;
Mchagua jembe__
hajui kulima
si mkulima
hulima vyema
hupata nzuri
6. Kamilisha methali;
Ukuina vyaelea,___
sio vyako
chunga sana
jua vimeundwa
vimeng'aa sana
7. Kamilisha methali
Ahadi ni
njema
deni
ahidi
hutimizwa
8. Kamilisha methali
Atafutaye___
hupata
hukosa
huchoka sana
hachoki
9. Kamilisha methali;
Mchumia juani___
hujaza kikapu
hulia kivulini
hupumzika
huchumia pia kivulini
10. Kamilisha methali;
Mgaagaa na upwa____
hula mbivu
hulia kivulini
hali wali mkavu
hula mbichi
11. Kamilisha methali;
Mtaka cha mvunguni___
Sharti ainame
hupata cha juu
hawezi pata
sharti aketi
12. Kamilisha methali
Mpanda ovyo
hula ovyo
huvuna mbichi
hupata vyote
huvuna mbivu
13. Kamilisha methali:
Atanguliaye kisimani___
hunywa maji mengi
ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji maenge
14. Kamilisha methali;
Tahadhali kabla ya ___
hatari
kuenda
adhari
tahadhari
15. Kamilisha methali;
Achanikaye kwenye mpini
hutia bidii
hulia kuvulini
hufa njaa
hafi njaa
16. Kamilisha methali;
Kweda bure
Hawezo kaa bure
hurudi bure
ni mzururaji
si kukaa bure
17. Kamilisha methali;
Chanda chema___
ni cha kati ni cha kwanza
huvikwa pete
ni kizuri
ni kifupi
18. Kamilisha methali;
Atangaye sana na jua
hula mbivu
hujua
hafi maskini
hulia kivulini
19. Kamilisha methali;
Baada ya dhiki ___
hula mbivu
mavuno
hufa maskini
faraja
20. Kamilisha methali;
Kupanda mchongoma
huanguka
kushuka ndio ngoma
ni kazi ngumu
kuchuma ngoma
21. Kamilisha methali;
Biashara__
ni nzuri
jioni
asubuhi
mchana
22. Kamilisha methali;
Haba na haba
hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
hababui
ni nzuri
23. Kamilisha methali;
Chelewa Chelewa___
ni tambia mbaya
utapigwa faini
hutafika
utampata mwana zi wako
24. Kamilisha methali;
Usipoziba ufa, __
utajenga ukuta
utabomoka
hakuna wa kujenga
utabomokewa