Grade 5 Kiswahili – Methali Zinazohusu Bidii Quiz

1. Mchumia juani,hulia ..............

kwake
kivulini
nyumbani
shambani
Explanation:

2. Mtaka cha mvunguni .............

sharti ainuke
sharti ainamilie
shati ainame
sharti ainame
Explanation:

3. Kamilisha methali; Ajizi___

mle
nyumba ya njaa
ajuza
nyumba ya faraja
Explanation:

4. Kamilisha methali; Mtegemea cha duguye

hufa maskini
huushi milele
hupata yote
hufaulu
Explanation:

5. Kamilisha methali; Mchagua jembe__

si mkulima
hajui kulima
hupata nzuri
hulima vyema
Explanation:

6. Kamilisha methali; Ukuina vyaelea,___

vimeng'aa sana
chunga sana
sio vyako
jua vimeundwa
Explanation:

7. Kamilisha methali Ahadi ni

deni
ahidi
njema
hutimizwa
Explanation:

8. Kamilisha methali Atafutaye___

hukosa
hachoki
huchoka sana
hupata
Explanation:

9. Kamilisha methali; Mchumia juani___

hupumzika
hujaza kikapu
huchumia pia kivulini
hulia kivulini
Explanation:

10. Kamilisha methali; Mgaagaa na upwa____

hula mbichi
hali wali mkavu
hula mbivu
hulia kivulini
Explanation:

11. Kamilisha methali; Mtaka cha mvunguni___

hawezi pata
sharti aketi
hupata cha juu
Sharti ainame
Explanation:

12. Kamilisha methali Mpanda ovyo

hula ovyo
huvuna mbichi
huvuna mbivu
hupata vyote
Explanation:

13. Kamilisha methali: Atanguliaye kisimani___

ni mqenye bidii
hupata maji mengi
hunywa maji mengi
hunywa maji maenge
Explanation:

14. Kamilisha methali; Tahadhali kabla ya ___

tahadhari
adhari
hatari
kuenda
Explanation:

15. Kamilisha methali; Achanikaye kwenye mpini

hutia bidii
hafi njaa
hufa njaa
hulia kuvulini
Explanation:

16. Kamilisha methali; Kweda bure

hurudi bure
si kukaa bure
ni mzururaji
Hawezo kaa bure
Explanation:

17. Kamilisha methali; Chanda chema___

huvikwa pete
ni kifupi
ni kizuri
ni cha kati ni cha kwanza
Explanation:

18. Kamilisha methali; Atangaye sana na jua

hafi maskini
hula mbivu
hulia kivulini
hujua
Explanation:

19. Kamilisha methali; Baada ya dhiki ___

hula mbivu
mavuno
faraja
hufa maskini
Explanation:

20. Kamilisha methali; Kupanda mchongoma

kuchuma ngoma
huanguka
kushuka ndio ngoma
ni kazi ngumu
Explanation:

21. Kamilisha methali; Biashara__

mchana
asubuhi
jioni
ni nzuri
Explanation:

22. Kamilisha methali; Haba na haba

ni nzuri
hujaza kibaba
ni kidogo kidogo
hababui
Explanation:

23. Kamilisha methali; Chelewa Chelewa___

utapigwa faini
hutafika
utampata mwana zi wako
ni tambia mbaya
Explanation:

24. Kamilisha methali; Usipoziba ufa, __

hakuna wa kujenga
utajenga ukuta
utabomokewa
utabomoka
Explanation: