Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz

1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa

msalani
nyumbani
barabarani
darasani
Explanation:

2. Mtu ambaye anafunza huitwa

Mzazi
mwanafunzi
mfunzi
mwalimu
Explanation:

3. Ni kitu gani hakipatikani darasani

Kitanda
Ubao
Chaki
Kitabu
Explanation:

4. Dawati linapatikana wapi

Barabarani
Msalani
Darasani
Nyumbani
Explanation:

5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia

kalamu
makaa
dawati
chaki
Explanation:

6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani

rula
sufuria
kengele
kifutio
Explanation:

7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye

meza
dawati
kiti
ubao
Explanation:

8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia

kitabu
saa
ubao
sakafu
Explanation:

9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia

kifutio
chaki
katatasi
dawati
Explanation:

10. Darasani kuna walimu na

watoto
wanafunzi
waimbaji
wazazi
Explanation:

11. Jicho ni

kifaa cha darasani
sehemu ya mguu
sehemu ya mwili
jufaa cha sebuleni
Explanation:

12. Tunatumia mdomo ___

kunusa
kuongea
kutembea
kuona
Explanation:

13. Ni IPI so sehemu ya mwili?

tumbo
goti
Dawati
mguu
Explanation:

14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___

shingo
mkono
kidole
paja
Explanation:

15. Tunatumia ___ kunusa

jicho
pua
mdimo
sikio
Explanation:

16. Tunatumia___ kusikia

pua
sikio
goti
mdomo
Explanation:

17. Mtu ana macho mangapi

2
4
3
5
Explanation:

18. Wingi wa pua ni

pua
mapua
mipua
vipua
Explanation:

19. Wingi wa mguu ni

miguu
viguu
maguu
guu
Explanation:

20. Wingi wa nywele ni

vinywele
mnywele
nywele
manywele
Explanation:

21. Tunatumia maji na ___ kuogea

chumvi
jivu
mchanga
sabuni
Explanation:

22. Tunatumia ___ kuoga meno

mswaki
vidole
mikono
kijiko
Explanation:

23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni

taulo
nguo
kofia
kichana
Explanation:

24. Tunatumia___ kuchana nnyele

vijiti
kichana
leso
mikono
Explanation:

25. Ili use safi, unafaa kuonga

siku mojs kwa wiki
jumapili
kila siku
ulienda shuleni
Explanation:

26. Ni gani ambalo si tunda

Chungwa
Parachichi
Nanasi
Unga
Explanation:

27. Tikiti maji ni aina ya

kifaa cha usafi
Samaki
Tunda
chakula
Explanation:

28. Gani sio tunda

viazi
tufaha
papai
parachichi
Explanation:

29. Tukila matunda tunapata

njaa
afya njema
magonjwa
shibe
Explanation:

30. Ni vyema kula matunda kila

siku
jumapili
unapohitaji
mwaka
Explanation:

31. Sima ni aina ya

mboga
viazi
chakula
matunda
Explanation:

32. Sima huliwa kwa

Wali
mboga
chai
matunda
Explanation:

33. Tunaposiaga mahindi tunapata

unga
viazi
wali
mchele
Explanation:

34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?

ugali
wali
mchele
githeri
Explanation:

35. Mayai ni aina ya

chakula
wali
matunda
maharagwe
Explanation:

36. Nini hutumika kufungia mlango?

Manjano
Mwenge
Mkarafuu
Chumvi
Explanation:

Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.

37. Chombo gani hutumika kupika chakula?

Chupi
Shanga
Sufuria
Kanga
Explanation:

Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.

38. Nini hutumika kufanyia usafi?

Barafu
Gari
Sabuni
Muguka
Explanation:

Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.

39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?

Penseli
Gari
Kamba
Bariri
Explanation:

Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.

40. Nini hutumika kusikiliza muziki?

Redio
Kito
Sofa
Nundu
Explanation:

Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.

41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?

Breki
Makaaaa
Kalamu
Kinyozi
Explanation:

Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.

42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?

Uji
Sukari
Taulo
Shuka
Explanation:

Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.

43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?

Mshumaa
Pipa
Kettle
Kinyesi
Explanation:

Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.

44. Nini hutumika kuzimia moto?

Koti
Moto
Kinyago
Kasha
Explanation:

Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.

45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?

Baiskeli
Kitanda
Kikombe
Bakuli
Explanation:

Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.