Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz

1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa

darasani
msalani
barabarani
nyumbani
Explanation:

2. Mtu ambaye anafunza huitwa

mwanafunzi
mwalimu
Mzazi
mfunzi
Explanation:

3. Ni kitu gani hakipatikani darasani

Chaki
Kitabu
Ubao
Kitanda
Explanation:

4. Dawati linapatikana wapi

Msalani
Darasani
Barabarani
Nyumbani
Explanation:

5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia

dawati
makaa
kalamu
chaki
Explanation:

6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani

kifutio
kengele
sufuria
rula
Explanation:

7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye

kiti
meza
ubao
dawati
Explanation:

8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia

saa
ubao
kitabu
sakafu
Explanation:

9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia

katatasi
kifutio
dawati
chaki
Explanation:

10. Darasani kuna walimu na

wazazi
waimbaji
wanafunzi
watoto
Explanation:

11. Jicho ni

sehemu ya mwili
jufaa cha sebuleni
sehemu ya mguu
kifaa cha darasani
Explanation:

12. Tunatumia mdomo ___

kutembea
kuona
kuongea
kunusa
Explanation:

13. Ni IPI so sehemu ya mwili?

goti
Dawati
tumbo
mguu
Explanation:

14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___

mkono
paja
kidole
shingo
Explanation:

15. Tunatumia ___ kunusa

jicho
mdimo
sikio
pua
Explanation:

16. Tunatumia___ kusikia

mdomo
goti
sikio
pua
Explanation:

17. Mtu ana macho mangapi

4
3
5
2
Explanation:

18. Wingi wa pua ni

pua
mipua
vipua
mapua
Explanation:

19. Wingi wa mguu ni

maguu
viguu
guu
miguu
Explanation:

20. Wingi wa nywele ni

nywele
manywele
mnywele
vinywele
Explanation:

21. Tunatumia maji na ___ kuogea

chumvi
mchanga
jivu
sabuni
Explanation:

22. Tunatumia ___ kuoga meno

kijiko
vidole
mikono
mswaki
Explanation:

23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni

taulo
kichana
nguo
kofia
Explanation:

24. Tunatumia___ kuchana nnyele

mikono
kichana
leso
vijiti
Explanation:

25. Ili use safi, unafaa kuonga

kila siku
siku mojs kwa wiki
jumapili
ulienda shuleni
Explanation:

26. Ni gani ambalo si tunda

Chungwa
Parachichi
Nanasi
Unga
Explanation:

27. Tikiti maji ni aina ya

chakula
Tunda
Samaki
kifaa cha usafi
Explanation:

28. Gani sio tunda

parachichi
tufaha
viazi
papai
Explanation:

29. Tukila matunda tunapata

afya njema
shibe
njaa
magonjwa
Explanation:

30. Ni vyema kula matunda kila

siku
jumapili
unapohitaji
mwaka
Explanation:

31. Sima ni aina ya

matunda
mboga
chakula
viazi
Explanation:

32. Sima huliwa kwa

chai
matunda
Wali
mboga
Explanation:

33. Tunaposiaga mahindi tunapata

unga
wali
mchele
viazi
Explanation:

34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?

ugali
mchele
wali
githeri
Explanation:

35. Mayai ni aina ya

chakula
maharagwe
matunda
wali
Explanation:

36. Nini hutumika kufungia mlango?

Mwenge
Mkarafuu
Chumvi
Manjano
Explanation:

Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.

37. Chombo gani hutumika kupika chakula?

Shanga
Chupi
Kanga
Sufuria
Explanation:

Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.

38. Nini hutumika kufanyia usafi?

Barafu
Muguka
Gari
Sabuni
Explanation:

Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.

39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?

Kamba
Gari
Bariri
Penseli
Explanation:

Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.

40. Nini hutumika kusikiliza muziki?

Sofa
Redio
Nundu
Kito
Explanation:

Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.

41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?

Breki
Kalamu
Makaaaa
Kinyozi
Explanation:

Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.

42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?

Shuka
Uji
Sukari
Taulo
Explanation:

Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.

43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?

Mshumaa
Kettle
Kinyesi
Pipa
Explanation:

Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.

44. Nini hutumika kuzimia moto?

Koti
Moto
Kinyago
Kasha
Explanation:

Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.

45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?

Baiskeli
Kitanda
Kikombe
Bakuli
Explanation:

Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.