Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz

1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa

nyumbani
barabarani
darasani
msalani
Explanation:

2. Mtu ambaye anafunza huitwa

Mzazi
mwanafunzi
mfunzi
mwalimu
Explanation:

3. Ni kitu gani hakipatikani darasani

Kitabu
Kitanda
Ubao
Chaki
Explanation:

4. Dawati linapatikana wapi

Msalani
Darasani
Barabarani
Nyumbani
Explanation:

5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia

kalamu
dawati
chaki
makaa
Explanation:

6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani

rula
kengele
kifutio
sufuria
Explanation:

7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye

kiti
meza
ubao
dawati
Explanation:

8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia

ubao
kitabu
sakafu
saa
Explanation:

9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia

katatasi
dawati
chaki
kifutio
Explanation:

10. Darasani kuna walimu na

wazazi
watoto
waimbaji
wanafunzi
Explanation:

11. Jicho ni

kifaa cha darasani
sehemu ya mguu
sehemu ya mwili
jufaa cha sebuleni
Explanation:

12. Tunatumia mdomo ___

kutembea
kuona
kuongea
kunusa
Explanation:

13. Ni IPI so sehemu ya mwili?

goti
mguu
tumbo
Dawati
Explanation:

14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___

paja
kidole
mkono
shingo
Explanation:

15. Tunatumia ___ kunusa

mdimo
pua
sikio
jicho
Explanation:

16. Tunatumia___ kusikia

mdomo
pua
goti
sikio
Explanation:

17. Mtu ana macho mangapi

2
3
5
4
Explanation:

18. Wingi wa pua ni

mapua
vipua
mipua
pua
Explanation:

19. Wingi wa mguu ni

guu
miguu
viguu
maguu
Explanation:

20. Wingi wa nywele ni

nywele
mnywele
vinywele
manywele
Explanation:

21. Tunatumia maji na ___ kuogea

mchanga
sabuni
chumvi
jivu
Explanation:

22. Tunatumia ___ kuoga meno

mikono
kijiko
vidole
mswaki
Explanation:

23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni

kofia
taulo
nguo
kichana
Explanation:

24. Tunatumia___ kuchana nnyele

vijiti
leso
kichana
mikono
Explanation:

25. Ili use safi, unafaa kuonga

ulienda shuleni
kila siku
siku mojs kwa wiki
jumapili
Explanation:

26. Ni gani ambalo si tunda

Nanasi
Unga
Chungwa
Parachichi
Explanation:

27. Tikiti maji ni aina ya

Samaki
chakula
Tunda
kifaa cha usafi
Explanation:

28. Gani sio tunda

viazi
parachichi
tufaha
papai
Explanation:

29. Tukila matunda tunapata

magonjwa
afya njema
shibe
njaa
Explanation:

30. Ni vyema kula matunda kila

jumapili
siku
mwaka
unapohitaji
Explanation:

31. Sima ni aina ya

viazi
chakula
matunda
mboga
Explanation:

32. Sima huliwa kwa

Wali
chai
matunda
mboga
Explanation:

33. Tunaposiaga mahindi tunapata

unga
mchele
wali
viazi
Explanation:

34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?

mchele
githeri
wali
ugali
Explanation:

35. Mayai ni aina ya

wali
matunda
maharagwe
chakula
Explanation:

36. Nini hutumika kufungia mlango?

Mkarafuu
Mwenge
Chumvi
Manjano
Explanation:

Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.

37. Chombo gani hutumika kupika chakula?

Shanga
Sufuria
Chupi
Kanga
Explanation:

Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.

38. Nini hutumika kufanyia usafi?

Sabuni
Muguka
Gari
Barafu
Explanation:

Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.

39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?

Bariri
Penseli
Kamba
Gari
Explanation:

Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.

40. Nini hutumika kusikiliza muziki?

Kito
Sofa
Redio
Nundu
Explanation:

Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.

41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?

Makaaaa
Kinyozi
Breki
Kalamu
Explanation:

Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.

42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?

Sukari
Uji
Taulo
Shuka
Explanation:

Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.

43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?

Kinyesi
Kettle
Pipa
Mshumaa
Explanation:

Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.

44. Nini hutumika kuzimia moto?

Kinyago
Moto
Kasha
Koti
Explanation:

Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.

45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?

Baiskeli
Kitanda
Kikombe
Bakuli
Explanation:

Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.