Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz

1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa

msalani
nyumbani
darasani
barabarani
Explanation:

2. Mtu ambaye anafunza huitwa

mwanafunzi
Mzazi
mwalimu
mfunzi
Explanation:

3. Ni kitu gani hakipatikani darasani

Chaki
Kitanda
Kitabu
Ubao
Explanation:

4. Dawati linapatikana wapi

Darasani
Msalani
Barabarani
Nyumbani
Explanation:

5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia

chaki
dawati
makaa
kalamu
Explanation:

6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani

kengele
kifutio
rula
sufuria
Explanation:

7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye

dawati
kiti
ubao
meza
Explanation:

8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia

saa
kitabu
sakafu
ubao
Explanation:

9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia

dawati
katatasi
chaki
kifutio
Explanation:

10. Darasani kuna walimu na

watoto
wazazi
wanafunzi
waimbaji
Explanation:

11. Jicho ni

jufaa cha sebuleni
sehemu ya mguu
sehemu ya mwili
kifaa cha darasani
Explanation:

12. Tunatumia mdomo ___

kuona
kutembea
kuongea
kunusa
Explanation:

13. Ni IPI so sehemu ya mwili?

goti
tumbo
Dawati
mguu
Explanation:

14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___

mkono
shingo
kidole
paja
Explanation:

15. Tunatumia ___ kunusa

mdimo
pua
sikio
jicho
Explanation:

16. Tunatumia___ kusikia

pua
sikio
mdomo
goti
Explanation:

17. Mtu ana macho mangapi

2
5
3
4
Explanation:

18. Wingi wa pua ni

mipua
pua
mapua
vipua
Explanation:

19. Wingi wa mguu ni

maguu
miguu
viguu
guu
Explanation:

20. Wingi wa nywele ni

vinywele
mnywele
nywele
manywele
Explanation:

21. Tunatumia maji na ___ kuogea

jivu
mchanga
sabuni
chumvi
Explanation:

22. Tunatumia ___ kuoga meno

kijiko
vidole
mikono
mswaki
Explanation:

23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni

nguo
kofia
kichana
taulo
Explanation:

24. Tunatumia___ kuchana nnyele

vijiti
kichana
mikono
leso
Explanation:

25. Ili use safi, unafaa kuonga

kila siku
ulienda shuleni
jumapili
siku mojs kwa wiki
Explanation:

26. Ni gani ambalo si tunda

Nanasi
Parachichi
Unga
Chungwa
Explanation:

27. Tikiti maji ni aina ya

chakula
kifaa cha usafi
Samaki
Tunda
Explanation:

28. Gani sio tunda

viazi
parachichi
papai
tufaha
Explanation:

29. Tukila matunda tunapata

njaa
magonjwa
shibe
afya njema
Explanation:

30. Ni vyema kula matunda kila

mwaka
unapohitaji
siku
jumapili
Explanation:

31. Sima ni aina ya

matunda
chakula
viazi
mboga
Explanation:

32. Sima huliwa kwa

matunda
Wali
mboga
chai
Explanation:

33. Tunaposiaga mahindi tunapata

viazi
unga
wali
mchele
Explanation:

34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?

wali
ugali
githeri
mchele
Explanation:

35. Mayai ni aina ya

chakula
matunda
wali
maharagwe
Explanation:

36. Nini hutumika kufungia mlango?

Mwenge
Mkarafuu
Chumvi
Manjano
Explanation:

Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.

37. Chombo gani hutumika kupika chakula?

Chupi
Kanga
Sufuria
Shanga
Explanation:

Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.

38. Nini hutumika kufanyia usafi?

Barafu
Gari
Muguka
Sabuni
Explanation:

Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.

39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?

Kamba
Gari
Bariri
Penseli
Explanation:

Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.

40. Nini hutumika kusikiliza muziki?

Nundu
Kito
Sofa
Redio
Explanation:

Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.

41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?

Breki
Makaaaa
Kinyozi
Kalamu
Explanation:

Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.

42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?

Sukari
Shuka
Taulo
Uji
Explanation:

Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.

43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?

Pipa
Kinyesi
Kettle
Mshumaa
Explanation:

Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.

44. Nini hutumika kuzimia moto?

Kasha
Moto
Koti
Kinyago
Explanation:

Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.

45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?

Bakuli
Kitanda
Baiskeli
Kikombe
Explanation:

Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.