Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz
1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa
2. Mtu ambaye anafunza huitwa
3. Ni kitu gani hakipatikani darasani
4. Dawati linapatikana wapi
5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia
6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani
7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye
8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia
9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia
10. Darasani kuna walimu na
11. Jicho ni
12. Tunatumia mdomo ___
13. Ni IPI so sehemu ya mwili?
14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___
15. Tunatumia ___ kunusa
16. Tunatumia___ kusikia
17. Mtu ana macho mangapi
18. Wingi wa pua ni
19. Wingi wa mguu ni
20. Wingi wa nywele ni
21. Tunatumia maji na ___ kuogea
22. Tunatumia ___ kuoga meno
23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni
24. Tunatumia___ kuchana nnyele
25. Ili use safi, unafaa kuonga
26. Ni gani ambalo si tunda
27. Tikiti maji ni aina ya
28. Gani sio tunda
29. Tukila matunda tunapata
30. Ni vyema kula matunda kila
31. Sima ni aina ya
32. Sima huliwa kwa
33. Tunaposiaga mahindi tunapata
34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?
35. Mayai ni aina ya
36. Nini hutumika kufungia mlango?
Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.
37. Chombo gani hutumika kupika chakula?
Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.
38. Nini hutumika kufanyia usafi?
Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.
39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?
Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.
40. Nini hutumika kusikiliza muziki?
Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.
41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?
Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.
42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?
Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.
43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?
Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.
44. Nini hutumika kuzimia moto?
Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.
45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?
Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.