Grade 1 Kiswahili – Vifaa tofauti Quiz

1. Mahali wanafunzi husoma panaitwa

msalani
nyumbani
darasani
barabarani
Explanation:

2. Mtu ambaye anafunza huitwa

mfunzi
Mzazi
mwalimu
mwanafunzi
Explanation:

3. Ni kitu gani hakipatikani darasani

Kitanda
Ubao
Kitabu
Chaki
Explanation:

4. Dawati linapatikana wapi

Nyumbani
Darasani
Msalani
Barabarani
Explanation:

5. Wanafunzi huandika vitabuni kutumia

kalamu
chaki
dawati
makaa
Explanation:

6. Ni kitu gani ambacho hakipatikani darasani

rula
kengele
sufuria
kifutio
Explanation:

7. Wanafunzi hukalia na kuwekelea vitabu kwenye

ubao
dawati
meza
kiti
Explanation:

8. Mwalimu hutumia chaki kuandikia

kitabu
sakafu
saa
ubao
Explanation:

9. Mwalimu hufuta maandishi kutoka ubaini akitumia

kifutio
chaki
dawati
katatasi
Explanation:

10. Darasani kuna walimu na

waimbaji
wazazi
watoto
wanafunzi
Explanation:

11. Jicho ni

jufaa cha sebuleni
sehemu ya mguu
kifaa cha darasani
sehemu ya mwili
Explanation:

12. Tunatumia mdomo ___

kuongea
kutembea
kuona
kunusa
Explanation:

13. Ni IPI so sehemu ya mwili?

Dawati
goti
tumbo
mguu
Explanation:

14. Got I ni sehemu ya mwi iliyokati ya mguu na___

shingo
kidole
mkono
paja
Explanation:

15. Tunatumia ___ kunusa

jicho
pua
mdimo
sikio
Explanation:

16. Tunatumia___ kusikia

mdomo
pua
sikio
goti
Explanation:

17. Mtu ana macho mangapi

3
5
4
2
Explanation:

18. Wingi wa pua ni

mipua
vipua
pua
mapua
Explanation:

19. Wingi wa mguu ni

miguu
viguu
guu
maguu
Explanation:

20. Wingi wa nywele ni

manywele
nywele
vinywele
mnywele
Explanation:

21. Tunatumia maji na ___ kuogea

chumvi
mchanga
jivu
sabuni
Explanation:

22. Tunatumia ___ kuoga meno

kijiko
vidole
mikono
mswaki
Explanation:

23. Tunajifunika __ mwilini tukienda bafuni

taulo
kofia
kichana
nguo
Explanation:

24. Tunatumia___ kuchana nnyele

vijiti
kichana
leso
mikono
Explanation:

25. Ili use safi, unafaa kuonga

siku mojs kwa wiki
kila siku
jumapili
ulienda shuleni
Explanation:

26. Ni gani ambalo si tunda

Unga
Nanasi
Chungwa
Parachichi
Explanation:

27. Tikiti maji ni aina ya

Samaki
Tunda
kifaa cha usafi
chakula
Explanation:

28. Gani sio tunda

viazi
tufaha
parachichi
papai
Explanation:

29. Tukila matunda tunapata

njaa
magonjwa
afya njema
shibe
Explanation:

30. Ni vyema kula matunda kila

unapohitaji
siku
mwaka
jumapili
Explanation:

31. Sima ni aina ya

viazi
matunda
mboga
chakula
Explanation:

32. Sima huliwa kwa

Wali
mboga
matunda
chai
Explanation:

33. Tunaposiaga mahindi tunapata

mchele
viazi
wali
unga
Explanation:

34. Mahindi yakichanganywa na maharagwe kisha yapikwe tunapata chakula gani?

githeri
ugali
mchele
wali
Explanation:

35. Mayai ni aina ya

matunda
chakula
maharagwe
wali
Explanation:

36. Nini hutumika kufungia mlango?

Mkarafuu
Chumvi
Mwenge
Manjano
Explanation:

Mwenge hutumika kufungia mlango kwa kuwasha na kusafisha njia ya nyumbani.

37. Chombo gani hutumika kupika chakula?

Kanga
Sufuria
Shanga
Chupi
Explanation:

Sufuria hutumika kupikia chakula na kuhifadhia vyakula pia.

38. Nini hutumika kufanyia usafi?

Sabuni
Muguka
Gari
Barafu
Explanation:

Sabuni hutumika kufanyia usafi wa mwili, vyombo na nyumba kwa ujumla.

39. Kifaa gani hutumika kufanyia kazi za sanaa?

Bariri
Penseli
Kamba
Gari
Explanation:

Penseli hutumika kufanyia kazi za sanaa kama vile kuchora na kupaka rangi.

40. Nini hutumika kusikiliza muziki?

Kito
Redio
Nundu
Sofa
Explanation:

Redio hutumika kusikiliza matangazo, muziki na vipindi mbalimbali vya redio.

41. Kifaa gani hutumika kuendeshea gari?

Breki
Kalamu
Makaaaa
Kinyozi
Explanation:

Breki hutumika kuacha gari na kusimamisha mwendo wa gari.

42. Kitu gani hutumika kufunika kitanda?

Taulo
Shuka
Sukari
Uji
Explanation:

Shuka hutumika kufunika kitanda na kuweka joto wakati wa kulala.

43. Chombo gani hutumika kuchemsha maji?

Mshumaa
Pipa
Kettle
Kinyesi
Explanation:

Kettle hutumika kuchemsha maji kwa ajili ya vinywaji vya moto kama chai au kahawa.

44. Nini hutumika kuzimia moto?

Moto
Kinyago
Koti
Kasha
Explanation:

Kasha au kifaa cha kuzimia moto hutumika kuzima moto kwa urahisi na salama.

45. Chombo gani hutumika kukusanyia maji?

Kitanda
Bakuli
Kikombe
Baiskeli
Explanation:

Bakuli hutumika kukusanyia maji ama kumwagia mtu maji kwa ajili ya kunywa.