Grade 2 Kiswahili – Matumizi ya vimilikishi Quiz

1. Maneno yanayoonyesha kitu ni cha nani hujulikana kama

Ngeli
msamiati
Vimulikishi
Maamkuzi
Explanation:

2. Gambia neni ambalo sio kimilikishi

YanguYake
Zetu
Mimi
Yao
Explanation:

3. Anduka kwa wingi: Kikombe changu

Kikombe vyangu
Vikombe vyao
Kikombe chetu
Vikombe vyangu
Explanation:

4. Anduka kwa wingi; Ng'ombe wangu

Ng'ombe wetu
Mang'ombe zetu
Ng'ombe zetu
Ng'ombe wangu
Explanation:

5. Anduka kwa wingi: Kiti changu

Viti vyao
Viti vyabgu
Kitu chetu
Viti vyetu
Explanation:

6. Anduka kwa wingi; Mama yangu

Mama yetu
Mama wetu
Mama zao
Wamama wao
Explanation:

7. Anduka kwa wingi; Mti wangu

Mti wetu
Miti yangu
Mti wao
Miti yetu
Explanation:

8. Anduka kwa wingi: Shule lako

Shule zao
Shule zako
Shule lenu
Mashule zako
Explanation:

9. Anduka kwa wingi; Chakula changu

Chakula chenu
Chakula vyangu
machakula yenu
Vyakula vyangu
Explanation:

10. Anduka kwa wingi Kiti chako

Viti zenu
Kiti chenu
Viti vyenu
Viti vyako
Explanation:

11. Chagua Jibu sahihi: Meza___

Zake
chake
vyao
vyake
Explanation:

12. Chagua Jibu sahihi: Mbwa___

chai
yao
yake
wao
Explanation:

13. Chagua Jibu sahihi: Kioo ____

vyangu
zangu
changu
yangu
Explanation:

14. Chagua Jibu sahihi: Mkoba ___

yao
yangu
zangu
Wangu
Explanation:

15. Chagua Jibu sahihi: Vitabu ___

changu
Vyangu
zangu
yao
Explanation:

16. Chagua Jibu sahihi: Nyumba___

changu
yangu
zetu
kwangu
Explanation:

17. Chagua Jibu sahihi: Saduku ____

langu
yangu
zangu
changu
Explanation:

18. Chagua Jibu sahihi: Meno ___

yangu
lake
zangu
zake
Explanation:

19. Chagua Jibu sahihi: Nguo ___

Vyangu
Changu
Yangu
Langu
Explanation:

20. Chagua Jibu sahihi: Kalamu ___

Yangu
Vyangu
Langu
Changu
Explanation:

21. Maneno ambayo huonyesha kitu ni cha Mani huitwa ___

Vitenzi
Ngeli
Viashiria
Vimilikishi
Explanation:

22. Tambua kimilikishi kati ya maneno haya

Kile
Changu
Huyu
Tembea
Explanation:

23. Chagua kimilikidho kati ya maneno haya

Ile
Yeye
Huyu
Wetu
Explanation:

24. Cjsgia neno ambalo ni kimilikishi

Wale
Yetu
Leta
Hii
Explanation:

25. Ni neno gani ambalo ni kimilikishi?

Hii
Yangu
mimi
Ile
Explanation:

26. Andika kwa wingi Mzazi wako

Mzazi wao
Wazazi wao
Mzazi zako
Wazazi wako
Explanation:

27. Kikombe chako

Kikombe vyako
Vikombe vyako
Vikombe zako
Kikombe zako
Explanation:

28. Andika kwa wingi Ngombe wangu

Ngombe zangu
Ngombe wangu
Ngombe zetu
Ngombe wetu
Explanation:

29. Andika kwa wingi Kiti chake

Viti vyao
Viti zetu
Viti vyake
Viti vyetu
Explanation:

30. Andika kwa wingi Kiti changu

Viti vyetu
Viti vyangu
Viti vyenu
Viti zetu
Explanation:

31. Chagua neno sahihi Meza __

vyangu
yake
chake
vyake
Explanation:

32. Chagua neno sahihi Mbwa __

Wake
Vyake
Zao
Zake
Explanation:

33. Chagua neno sahihi Nyumba ___

Vyake
Vyangu
Yangu
Chake
Explanation:

34. Chagua neno sahihi Kioo __

Kiangu
Changu
Vyangu
Yangu
Explanation:

35. Chagua neno sahihi Chakula ___

Wangu
Changu
Langu
Vyangu
Explanation:

36. Chagua neno sahihi Saduku

vyangu
Langu
yangu
changu
Explanation:

37. Chagua neno sahihi: Jino___

Changu
Vyangu
Yangu
Langu
Explanation:

38. Chagua neno sahihi Kitu___

kiangu
changu
langu
Zangu
Explanation:

39. Chagua neno sahihi Viti ___

vyake
chake
zake
yake
Explanation:

40. Chagua neno sahihi Kitabu___

Changu
zangu
kiangu
Vyangu
Explanation:

41. Chagua neno sahihi Majina ___

zangu
yangu
langu
changu
Explanation:

42. Chagua neno sahihi Macho

letu
yangu
zangu
zetu
Explanation:

43. Kiswahili cha nani hicho? (This is whose Kiswahili?)

Yeye
Mungu
Mimi
Wangapi
Explanation:

Vimilikishi vinavyoonyesha mhusika ni 'cha nani' vinakuwa ni 'chake, chake, yangu, yako, yetu, yetu, yenu, yao'. Hivyo jibu sahihi ni 'Yeye'.

44. Mti mrefu ni _(Tall tree is)_

Yetu
Dume
Chake
Yako
Explanation:

Matumizi ya vimilikishi hapa ni kuonesha kitu kinachomilikiwa na mtu au kundi fulani. Jibu sahihi ni 'Chake' kwa sababu 'mti mrefu' ni mali ya mtu huyo.

45. Kisu changu _(My knife)_

Kizuri
Safisha
Mvua
Nywele
Explanation:

Vimilikishi katika Kiswahili vinabadilika kulingana na kitu kinachomilikiwa, hivyo jibu sahihi ni 'Kizuri'.

46. Shamba lake _(His farm)_

Kilio
Alofanya
Mchanga
Upepo
Explanation:

Matumizi ya vimilikishi hapa ni kuonyesha kwamba shamba ni mali ya yule anayemiliki. Jibu sahihi ni 'Alofanya'.

47. Nguo zetu _(Our clothes)_

Bei
Kali
Kwamba
Upesi
Explanation:

Vimilikishi vinaonesha umiliki wa kitu fulani. Hivyo, jibu sahihi ni 'Kali' kwani inaonyesha vitu ni vyetu.

48. Nyumba yangu _(My house)_

Kubwa
Giza
Mapema
Fupi
Explanation:

Matumizi ya vimilikishi ni kuonyesha umiliki wa kitu. Jibu sahihi hapa ni 'Kubwa' kwa sababu nyumba inayomilikiwa ni kubwa.

49. Shughuli zao _(Their activities)_

Kwenda
Zilikuwa
Kitandani
Mlo
Explanation:

Vimilikishi vinabadilika kulingana na umiliki. Hapa jibu sahihi ni 'Zilikuwa' kwani inaonyesha shughuli zilikuwa ni zao.

50. Makaratasi yako _(Your papers)_

Kutembea
Alikataa
Roho
Meza
Explanation:

Matumizi ya vimilikishi huonyesha umiliki wa kitu. Jibu sahihi hapa ni 'Meza' kwa sababu makaratasi ni yako.

51. Picha yetu _(Our picture)_

Inaonyesha
Baridi
Jino
Tunakula
Explanation:

Matumizi ya vimilikishi ni kuonyesha umiliki. Jibu sahihi ni 'Inaonyesha' kwani picha ni yetu.

52. Kalamu zake _(His pens)_

Inafanya
Mpya
Michezo
Pesa
Explanation:

Vimilikishi huonyesha umiliki wa vitu. Hivyo, jibu sahihi hapa ni 'Mpya' kwa sababu kalamu ni zake.