Grade 2 Kiswahili – Msamiati wa shuleni Quiz

1. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Kitabu ___

Chako
wangu
Zenu
enu
Explanation:

2. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Mkono ___ unauma

Yangu
Chetu
Wangu
yenu
Explanation:

3. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Kiatu ___ ni kizuri

Chenu
Chako
Yenu
yako
Explanation:

4. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Shule ___ linapendeza

yenu
chenu
lenu
yano
Explanation:

5. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mama ___ amafika shuleni

wenu
wako
chako
yako
Explanation:

6. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Kalamu ___ imepotea

chenu
chako
yenu
Yako
Explanation:

7. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mwalimu ___ anakuja

yenu
zenu
yako
wenu
Explanation:

8. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mkufu ___ umekatika

wako
chenu
wenu
zenu
Explanation:

9. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Motto ___ ni mchanga

zenu
wenu
yenu
chenu
Explanation:

10. Inapatikana shuleni

Darasa
Kanisa
Sembuleni
Chumba cha kulala
Explanation:

11. Kitu ambacho mwanafunzi anakalia kinajulikana kama

Dawati
Sofaset
Kabati
Meza
Explanation:

12. Inatumiwa na mwanafunzi kupiga mstari kwenye daftari

Kalamu
Kijiti
Mti
Rula
Explanation:

13. Inatumika kujulisha wakati shuleni

Darasa
Kengele
Dawati
Meza
Explanation:

14. Tunafanyia masimovyetu katika

Nyumba
Darasa
Soko
Kanisa
Explanation:

15. ___ ndiye analinda shule yetu

Mwalimu mkuu
Mlinzi
Mzazi
Mwanafunzi
Explanation:

16. Tunachezea mpira kwenye

Nyumba
Darasa
Uwanja
Gwaride
Explanation:

17. ___ ikilia tunakimbia darasabi

Bendera
Kengele
Mtoto
Mwalimu
Explanation:

18. Mwanafunzi akikosa nidhamu anapelekwa kwa ofisi ya

Mzazi
Mlinzi
Mhubiri
Mwalimu mkuu
Explanation:

19. Shule yetu ina __ mengi

makanisa
madarasa
Maji
Wanafunzi
Explanation:

20. Ni nini maana ya kalamu?

Kitabu
Chombo cha kuandikia
Rula
Mashati
Explanation:

Kalamu ni chombo cha kuandikia au kuchora.

21. Nini maana ya ubao?

Sehemu ya kuandikia
Kiti
Nyoka
Gari
Explanation:

Ubao ni sehemu ambayo inaweza kutumika kwa ajili ya kuandikia kwa kutumia chaki.

22. Turudi shuleni, maana yake ni nini?

Kwenda barabarani
Kucheza nyumbani
Kula chakula
Kwenda shuleni
Explanation:

Turudi shuleni inamaanisha kurejea tena katika mazingira ya shule kwa masomo au shughuli zingine za shuleni.

23. Nini hufanya katika darasa la Kiswahili?

Kucheza
Kucheza mpira
Kula
Kusoma
Explanation:

Katika darasa la Kiswahili, wanafunzi hujifunza kusoma na kuandika Kiswahili.

24. Nini maana ya meza?

Sehemu ya kuweka vitu darasani
Kofia
Mbwa
Gari
Explanation:

Meza ni sehemu ambayo hutumika kuweka vitabu, kalamu, na vifaa vingine darasani.

25. Kwa nini unapohitaji kuandika unatumia kalamu au penseli?

Kuandika kwenye karatasi au ubao
Kupiga picha
Kufunga kamba
Kutengeneza keki
Explanation:

Kalamu au penseli hutumika kwa ajili ya kuandika kwenye karatasi au ubao wakati wa kufanya kazi au kupata maelezo.

26. Nini huvaliwa miguuni wakati wa kwenda shuleni?

Sungura
Nguo za kuogelea
Viatu
Chaku
Explanation:

Wakati wa kwenda shuleni, watoto huvalia viatu kwa ajili ya kulinda miguu yao na kwa usalama.

27. Unapotaka kusoma kitabu, unatumia kifaa gani?

Simu
Gari
Kitabu
Gari moshi
Explanation:

Kifaa kinachotumika kusoma kitabu ni kitabu lenyewe ambalo lina kurasa na maudhui ya kusoma.

28. Unapohitaji kufuta kitu ulichoandika unatumia chombo gani?

Ruba
Gari
Kalamu
Sikio
Explanation:

Unapohitaji kufuta kitu ulichoandika unatumia ruba ambayo hufutia makosa yaliyoandikwa kwenye karatasi.

29. Ajenda ni nini darasani?

Wachezaji
Orodha ya mambo ya kufanya
Nakala
Chombo cha kufutia
Explanation:

Ajenda darasani ni orodha ya mambo ya kufanya kama kazi au shughuli za kufanya katika siku husika.