Grade 2 Kiswahili – Msamiati wa shuleni Quiz

1. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Kitabu ___

enu
wangu
Zenu
Chako
Explanation:

2. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Mkono ___ unauma

Wangu
Yangu
Chetu
yenu
Explanation:

3. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Kiatu ___ ni kizuri

Chako
Yenu
Chenu
yako
Explanation:

4. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo. Shule ___ linapendeza

lenu
yenu
yano
chenu
Explanation:

5. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mama ___ amafika shuleni

yako
chako
wako
wenu
Explanation:

6. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Kalamu ___ imepotea

chako
yenu
Yako
chenu
Explanation:

7. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mwalimu ___ anakuja

wenu
zenu
yako
yenu
Explanation:

8. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Mkufu ___ umekatika

wako
chenu
zenu
wenu
Explanation:

9. Tumia 'ako' au 'enu' kujaza pengo Motto ___ ni mchanga

wenu
yenu
zenu
chenu
Explanation:

10. Inapatikana shuleni

Chumba cha kulala
Kanisa
Darasa
Sembuleni
Explanation:

11. Kitu ambacho mwanafunzi anakalia kinajulikana kama

Meza
Kabati
Dawati
Sofaset
Explanation:

12. Inatumiwa na mwanafunzi kupiga mstari kwenye daftari

Mti
Rula
Kalamu
Kijiti
Explanation:

13. Inatumika kujulisha wakati shuleni

Dawati
Meza
Darasa
Kengele
Explanation:

14. Tunafanyia masimovyetu katika

Kanisa
Darasa
Soko
Nyumba
Explanation:

15. ___ ndiye analinda shule yetu

Mzazi
Mlinzi
Mwalimu mkuu
Mwanafunzi
Explanation:

16. Tunachezea mpira kwenye

Darasa
Gwaride
Nyumba
Uwanja
Explanation:

17. ___ ikilia tunakimbia darasabi

Mtoto
Mwalimu
Kengele
Bendera
Explanation:

18. Mwanafunzi akikosa nidhamu anapelekwa kwa ofisi ya

Mwalimu mkuu
Mlinzi
Mhubiri
Mzazi
Explanation:

19. Shule yetu ina __ mengi

madarasa
makanisa
Wanafunzi
Maji
Explanation:

20. Ni nini maana ya kalamu?

Kitabu
Rula
Mashati
Chombo cha kuandikia
Explanation:

Kalamu ni chombo cha kuandikia au kuchora.

21. Nini maana ya ubao?

Kiti
Sehemu ya kuandikia
Nyoka
Gari
Explanation:

Ubao ni sehemu ambayo inaweza kutumika kwa ajili ya kuandikia kwa kutumia chaki.

22. Turudi shuleni, maana yake ni nini?

Kwenda shuleni
Kula chakula
Kucheza nyumbani
Kwenda barabarani
Explanation:

Turudi shuleni inamaanisha kurejea tena katika mazingira ya shule kwa masomo au shughuli zingine za shuleni.

23. Nini hufanya katika darasa la Kiswahili?

Kucheza mpira
Kucheza
Kusoma
Kula
Explanation:

Katika darasa la Kiswahili, wanafunzi hujifunza kusoma na kuandika Kiswahili.

24. Nini maana ya meza?

Mbwa
Sehemu ya kuweka vitu darasani
Kofia
Gari
Explanation:

Meza ni sehemu ambayo hutumika kuweka vitabu, kalamu, na vifaa vingine darasani.

25. Kwa nini unapohitaji kuandika unatumia kalamu au penseli?

Kufunga kamba
Kutengeneza keki
Kupiga picha
Kuandika kwenye karatasi au ubao
Explanation:

Kalamu au penseli hutumika kwa ajili ya kuandika kwenye karatasi au ubao wakati wa kufanya kazi au kupata maelezo.

26. Nini huvaliwa miguuni wakati wa kwenda shuleni?

Chaku
Viatu
Sungura
Nguo za kuogelea
Explanation:

Wakati wa kwenda shuleni, watoto huvalia viatu kwa ajili ya kulinda miguu yao na kwa usalama.

27. Unapotaka kusoma kitabu, unatumia kifaa gani?

Gari
Gari moshi
Simu
Kitabu
Explanation:

Kifaa kinachotumika kusoma kitabu ni kitabu lenyewe ambalo lina kurasa na maudhui ya kusoma.

28. Unapohitaji kufuta kitu ulichoandika unatumia chombo gani?

Ruba
Sikio
Gari
Kalamu
Explanation:

Unapohitaji kufuta kitu ulichoandika unatumia ruba ambayo hufutia makosa yaliyoandikwa kwenye karatasi.

29. Ajenda ni nini darasani?

Nakala
Orodha ya mambo ya kufanya
Wachezaji
Chombo cha kufutia
Explanation:

Ajenda darasani ni orodha ya mambo ya kufanya kama kazi au shughuli za kufanya katika siku husika.