Grade 6 Kiswahili – Vivumishi Vimilikishi Quiz
1. Aina ya kivumishi ambavyo huonyesha kuwa na au kumiliki kitu huitwaje?
2. Tambua kivumishi kimilikishi
3. Tambua kivumishi kimilikishi
4. Tambua kivumishi kimilikishi katika sentensi hii; Ng'ombe wake alichinjwa jana
5. Andika wingi wa sentensi hii Nguo yake ni rembo
6. Tumia kimilikishi kifaacho(ake) Jino__ linauma
7. Tumia kimilikishi kifaacho;(etu? Sembuleni _,,pana wageni
8. Andika kwa wingi Kiatu chake