Grade 6 Kiswahili – Vivumishi Vimilikishi Quiz

1. Aina ya kivumishi ambavyo huonyesha kuwa na au kumiliki kitu huitwaje?

Vivumishi mimilikishi
Vivumishi vya sifa
Vivumishi viulizi
Vivumishi vielezi
Explanation:

2. Tambua kivumishi kimilikishi

Changu
Refu
Kile
Huyu
Explanation:

3. Tambua kivumishi kimilikishi

Yangu
Ile
Hawa
Hiyo
Explanation:

4. Tambua kivumishi kimilikishi katika sentensi hii; Ng'ombe wake alichinjwa jana

Wake
Alichinjwa
Ng'ombe
Jana
Explanation:

5. Andika wingi wa sentensi hii Nguo yake ni rembo

Nguo lake ni rembo
Nguo zake ni rembo
Nguo lake ni zirembo
Nguo zao ni rembo
Explanation:

6. Tumia kimilikishi kifaacho(ake) Jino__ linauma

Yake
Zake
Zao
Lake
Explanation:

7. Tumia kimilikishi kifaacho;(etu? Sembuleni _,,pana wageni

Petu
Pwetu
Yetu
Zetu
Explanation:

8. Andika kwa wingi Kiatu chake

Viatu hivyo
Viayu vyao
Viatu vyao
Kiatu vyetu
Explanation: