Grade 6 Kiswahili – Vivumishi Vimilikishi Quiz

1. Aina ya kivumishi ambavyo huonyesha kuwa na au kumiliki kitu huitwaje?

Vivumishi mimilikishi
Vivumishi viulizi
Vivumishi vya sifa
Vivumishi vielezi
Explanation:

2. Tambua kivumishi kimilikishi

Kile
Changu
Huyu
Refu
Explanation:

3. Tambua kivumishi kimilikishi

Ile
Yangu
Hawa
Hiyo
Explanation:

4. Tambua kivumishi kimilikishi katika sentensi hii; Ng'ombe wake alichinjwa jana

Alichinjwa
Ng'ombe
Jana
Wake
Explanation:

5. Andika wingi wa sentensi hii Nguo yake ni rembo

Nguo lake ni rembo
Nguo zake ni rembo
Nguo zao ni rembo
Nguo lake ni zirembo
Explanation:

6. Tumia kimilikishi kifaacho(ake) Jino__ linauma

Yake
Lake
Zake
Zao
Explanation:

7. Tumia kimilikishi kifaacho;(etu? Sembuleni _,,pana wageni

Zetu
Petu
Pwetu
Yetu
Explanation:

8. Andika kwa wingi Kiatu chake

Viayu vyao
Viatu hivyo
Kiatu vyetu
Viatu vyao
Explanation: