Grade 6 Kiswahili – Nahau Za Kazi Na Ushirikiano Quiz

1. Maneno yenye maana fiche huitwaje?

Visawe
Vitawe
Nahau/misemo
Vitanza ndimi
Explanation:

2. Mini maana ya piga jeki?

Chapa jeki
Fanya kazi kwa bidii
Saidia
Kujitolea
Explanation:

3. Chagua nahau iliyo na maana moja na piga jeki

Shika mkono
Change bia
Tia bidii
Chapa kazi
Explanation:

4. Maana ya kuchanga via ni___

Apana pesa
Tafuta pesa
Shirikiana katika jambo
Changisha pesa
Explanation:

5. Eleza maana ya kujifungua nira

Kujifungua minyororo
Kujitolea
Kujitahidi katika jambo
Kujiyoa mzigo
Explanation:

6. Ni nahau gani inaweza kutumika katika sentensi hii ili kudumisha maana take? Rhoda alijikaza kisabuni hadi akapita mtihani

Tia bidii
Piga jeki
Changa bia
Chapa kazi
Explanation:

7. Wanafunzi waliamua kuchanga via katika masomo ili wawwze kufauli; fafanua

Wanafunzi walichangisha pesa ya karo
Wanafunzi walipiga jwki masomo
Wanafunzi walishirikiana masomoni
Wanafunzi walishika masomo mkono
Explanation:

8. Mwalimu alimshika Maria mkono had I akafaulu; fafanua

Mwalimu alimsaidia Maria kwa masomo yake
Mwalimu alichanga bia ndio maria akafaulu
Mwalimu alitia biddii katika masomobya maria
Mwalimu alipiga maria jeki katika masomo
Explanation:

9. Chagua nahau yenye maana sawa na kujifungua nira;

Chapa kazi
Shika mkono
Changa bia
Piga jeki
Explanation:

10. Baba alichapa kazivhadi akapandishwa cheo? Baba alifanya nini___

Changa bia
Shika kazi mkono
Piga jeki
Fanya kazi kwa bidii
Explanation:

11. Eleza maana ya nahau; Acha mkono

Acha mkoba
Fariki
Enda zako
Kufa moyo
Explanation:

12. Eleza maana ya nahau; Via macho

Kuwa kipofu
Tazama kwa makini
Vaa miwani
Kondoa macho
Explanation:

13. Eleza maana ya nahau; Vunja mbavu

Chekesha
Kuua
Piga
Kosana
Explanation:

14. Eleza maana ya nahau; Vuta pumzi

Pata mapumziko
Vuta hewa
Nusa hewani
Vita hewa
Explanation:

15. Eleza maana ya nahau; Tumbo moto

Madhara
Chomeka tumbo
Kata kauli
Wasiwasi
Explanation:

16. Eleza maana ya nahau Piga darubini

chapa darubini
Fanya uchunguzi
jenga darubini
kata kauli
Explanation:

17. Eleza maana ya nahau Piga hatua

baki vilevile
chapa hatua na mtu
kata kamba
endelea
Explanation:

18. Eleza maana ya nahau Piga moyo konde

Fanya moyo kuwa mkonde
Liwaza
kukonda moyo
kupiga chafya
Explanation:

19. Eleza maana ya nahau Kata kamba

uza kamba
Gawa kamba mara kadhaa
aga dunia
katisha kamba vipande viwili
Explanation:

20. Eleza maana ya nahau; pigwa kalamu

futwa kazi
ajiriwa
chorwa
pewa kalamu
Explanation:

21. Eleza maana ya nahau; Kandaa meza

tengeneza meza
osha meza
tandika meza
tayarisha chakula
Explanation:

22. Eleza maana ya msemo ; Pua na mdomo

mrembo
karibu
uso
ona vizuri
Explanation:

23. Eleza maana ya msemo ; Kiguu na njia

mguu na njia
kutotulia
urefu
utulizu
Explanation:

24. Eleza maana ya msemo ; Mkono wa mbirika

mchoyo
mkono mfupi
mkono mnono
mkono uliifunguka
Explanation:

25. Eleza maana ya msemo ; Shingo upande

kwa pupa
angalia vyema
kwa haraka
bila kupenda
Explanation:

26. Ni vipi mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi?

Kwa kutotoa majukumu kabisa
Kwa uaminifu na upeo wa juu
Kwa kufanya kazi yeye mwenyewe
Kwa kufanya kazi kwa upande wa pili
Explanation:

Mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi kwa uaminifu na upeo wa juu ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

27. Ni vipi wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni?

Kwa kufanya mambo kiholela
Kwa kutegemea wengine
Kwa kujua majukumu yao tu
Kwa kusaidiana na wenzao
Explanation:

Wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni kwa kusaidiana na wenzao ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

28. Ni jambo gani linaloweza kutokea kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni?

Matokeo mazuri
Matokeo yasiyopimika
Matokeo mabaya
Matokeo yasiyowakilisha chochote
Explanation:

Kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni, matokeo yatakuwa mazuri na yenye tija kwa wanafunzi wote.

29. Ni kitu gani kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni?

Kutokuwa na mipango
Kutokuwa na ushirikiano
Kuwajibika kwa kila mwanafunzi
Kufanya mambo kwa mazoea tu
Explanation:

Kuwajibika kwa kila mwanafunzi ndio kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni na kuongeza tija kwa wanafunzi wote.

30. Ni jambo gani la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni?

Kufanya kazi kwa kujitenga na wenzao
Kutokuwa na malengo kabisa
Kufuata sheria kiholela
Kushirikiana na wenzao
Explanation:

Kushirikiana na wenzao ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni kwa kuwezesha kufikia matokeo mazuri zaidi.

31. Nahau za kazi ni zipi kati ya zifuatazo?

Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuwa, Nahau ya Kuja
Nahau ya Nafsi, Nahau ya Tendo, Nahau ya Mali
Nahau ya Kishada, Nahau ya Kanuni, Nahau ya Mchanganyiko
Nahau ya Matumizi, Nahau ya Utungaji, Nahau ya Majina
Explanation:

Nahau za kazi ni pamoja na Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuja, na Nahau ya Kuwa.

32. Nahau ya kazi inajulisha nini?

Nafsi ya kitendaji kufahamika
Jina la kitu kinachotendwa na kiima
Nahau ya mchanganyiko kufundishwa
Kitenzi kinachofanya kazi kutafitiwa
Explanation:

Nahau ya kazi inajulisha kazi inayoendelezwa na kitenzi.

33. Nahau za kazi hutumika vipi katika sentensi?

Kutaja wakati wa tendo, kufupisha sentensi, kuinua maudhui
Kuwaelekeza wengine, kushirikisha wasikilizaji, kusisitiza uhusiano, kuweka kiima kabla ya kitendaji
Kuonyesha mtendaji, kuelezea furaha au huzuni, kufanya tendo kuwa la lazima
Kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, kubainisha kitendaji
Explanation:

Nahau za kazi hutumika katika sentensi kwa kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, na kubainisha kitendaji.

34. Kazi ya Nahau za ushirikiano ni ipi kati ya zilizotajwa?

Kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, kufupisha maneno
Kuelekeza, kujibu, kuthibitisha
Nahau ya kutendewa, Nahau ya kutendea, Nahau ya kufanyiana
Kusisitiza, kuthibitisha, kuegemea
Explanation:

Kazi ya Nahau za ushirikiano ni kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, na kufupisha maneno katika sentensi.

35. Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi?

Inadaiwa
Sio kweli
Ni kweli
Hutumiki
Explanation:

Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi kulingana na muktadha wa sentensi.