Grade 6 Kiswahili – Nahau Za Kazi Na Ushirikiano Quiz

1. Maneno yenye maana fiche huitwaje?

Vitanza ndimi
Vitawe
Nahau/misemo
Visawe
Explanation:

2. Mini maana ya piga jeki?

Chapa jeki
Saidia
Kujitolea
Fanya kazi kwa bidii
Explanation:

3. Chagua nahau iliyo na maana moja na piga jeki

Change bia
Tia bidii
Chapa kazi
Shika mkono
Explanation:

4. Maana ya kuchanga via ni___

Changisha pesa
Shirikiana katika jambo
Tafuta pesa
Apana pesa
Explanation:

5. Eleza maana ya kujifungua nira

Kujifungua minyororo
Kujitahidi katika jambo
Kujiyoa mzigo
Kujitolea
Explanation:

6. Ni nahau gani inaweza kutumika katika sentensi hii ili kudumisha maana take? Rhoda alijikaza kisabuni hadi akapita mtihani

Changa bia
Tia bidii
Piga jeki
Chapa kazi
Explanation:

7. Wanafunzi waliamua kuchanga via katika masomo ili wawwze kufauli; fafanua

Wanafunzi walishirikiana masomoni
Wanafunzi walipiga jwki masomo
Wanafunzi walishika masomo mkono
Wanafunzi walichangisha pesa ya karo
Explanation:

8. Mwalimu alimshika Maria mkono had I akafaulu; fafanua

Mwalimu alimsaidia Maria kwa masomo yake
Mwalimu alichanga bia ndio maria akafaulu
Mwalimu alitia biddii katika masomobya maria
Mwalimu alipiga maria jeki katika masomo
Explanation:

9. Chagua nahau yenye maana sawa na kujifungua nira;

Shika mkono
Piga jeki
Chapa kazi
Changa bia
Explanation:

10. Baba alichapa kazivhadi akapandishwa cheo? Baba alifanya nini___

Changa bia
Piga jeki
Fanya kazi kwa bidii
Shika kazi mkono
Explanation:

11. Eleza maana ya nahau; Acha mkono

Fariki
Enda zako
Acha mkoba
Kufa moyo
Explanation:

12. Eleza maana ya nahau; Via macho

Kuwa kipofu
Tazama kwa makini
Vaa miwani
Kondoa macho
Explanation:

13. Eleza maana ya nahau; Vunja mbavu

Chekesha
Kosana
Piga
Kuua
Explanation:

14. Eleza maana ya nahau; Vuta pumzi

Vuta hewa
Pata mapumziko
Vita hewa
Nusa hewani
Explanation:

15. Eleza maana ya nahau; Tumbo moto

Kata kauli
Chomeka tumbo
Madhara
Wasiwasi
Explanation:

16. Eleza maana ya nahau Piga darubini

jenga darubini
Fanya uchunguzi
kata kauli
chapa darubini
Explanation:

17. Eleza maana ya nahau Piga hatua

kata kamba
chapa hatua na mtu
endelea
baki vilevile
Explanation:

18. Eleza maana ya nahau Piga moyo konde

Liwaza
kupiga chafya
kukonda moyo
Fanya moyo kuwa mkonde
Explanation:

19. Eleza maana ya nahau Kata kamba

Gawa kamba mara kadhaa
katisha kamba vipande viwili
uza kamba
aga dunia
Explanation:

20. Eleza maana ya nahau; pigwa kalamu

chorwa
futwa kazi
pewa kalamu
ajiriwa
Explanation:

21. Eleza maana ya nahau; Kandaa meza

tengeneza meza
osha meza
tandika meza
tayarisha chakula
Explanation:

22. Eleza maana ya msemo ; Pua na mdomo

uso
ona vizuri
karibu
mrembo
Explanation:

23. Eleza maana ya msemo ; Kiguu na njia

kutotulia
urefu
utulizu
mguu na njia
Explanation:

24. Eleza maana ya msemo ; Mkono wa mbirika

mkono mnono
mchoyo
mkono uliifunguka
mkono mfupi
Explanation:

25. Eleza maana ya msemo ; Shingo upande

angalia vyema
kwa haraka
bila kupenda
kwa pupa
Explanation:

26. Ni vipi mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi?

Kwa kufanya kazi kwa upande wa pili
Kwa kutotoa majukumu kabisa
Kwa uaminifu na upeo wa juu
Kwa kufanya kazi yeye mwenyewe
Explanation:

Mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi kwa uaminifu na upeo wa juu ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

27. Ni vipi wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni?

Kwa kufanya mambo kiholela
Kwa kusaidiana na wenzao
Kwa kutegemea wengine
Kwa kujua majukumu yao tu
Explanation:

Wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni kwa kusaidiana na wenzao ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

28. Ni jambo gani linaloweza kutokea kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni?

Matokeo yasiyopimika
Matokeo mabaya
Matokeo mazuri
Matokeo yasiyowakilisha chochote
Explanation:

Kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni, matokeo yatakuwa mazuri na yenye tija kwa wanafunzi wote.

29. Ni kitu gani kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni?

Kufanya mambo kwa mazoea tu
Kutokuwa na ushirikiano
Kutokuwa na mipango
Kuwajibika kwa kila mwanafunzi
Explanation:

Kuwajibika kwa kila mwanafunzi ndio kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni na kuongeza tija kwa wanafunzi wote.

30. Ni jambo gani la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni?

Kutokuwa na malengo kabisa
Kufanya kazi kwa kujitenga na wenzao
Kufuata sheria kiholela
Kushirikiana na wenzao
Explanation:

Kushirikiana na wenzao ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni kwa kuwezesha kufikia matokeo mazuri zaidi.

31. Nahau za kazi ni zipi kati ya zifuatazo?

Nahau ya Matumizi, Nahau ya Utungaji, Nahau ya Majina
Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuwa, Nahau ya Kuja
Nahau ya Kishada, Nahau ya Kanuni, Nahau ya Mchanganyiko
Nahau ya Nafsi, Nahau ya Tendo, Nahau ya Mali
Explanation:

Nahau za kazi ni pamoja na Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuja, na Nahau ya Kuwa.

32. Nahau ya kazi inajulisha nini?

Kitenzi kinachofanya kazi kutafitiwa
Jina la kitu kinachotendwa na kiima
Nahau ya mchanganyiko kufundishwa
Nafsi ya kitendaji kufahamika
Explanation:

Nahau ya kazi inajulisha kazi inayoendelezwa na kitenzi.

33. Nahau za kazi hutumika vipi katika sentensi?

Kuwaelekeza wengine, kushirikisha wasikilizaji, kusisitiza uhusiano, kuweka kiima kabla ya kitendaji
Kuonyesha mtendaji, kuelezea furaha au huzuni, kufanya tendo kuwa la lazima
Kutaja wakati wa tendo, kufupisha sentensi, kuinua maudhui
Kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, kubainisha kitendaji
Explanation:

Nahau za kazi hutumika katika sentensi kwa kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, na kubainisha kitendaji.

34. Kazi ya Nahau za ushirikiano ni ipi kati ya zilizotajwa?

Nahau ya kutendewa, Nahau ya kutendea, Nahau ya kufanyiana
Kuelekeza, kujibu, kuthibitisha
Kusisitiza, kuthibitisha, kuegemea
Kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, kufupisha maneno
Explanation:

Kazi ya Nahau za ushirikiano ni kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, na kufupisha maneno katika sentensi.

35. Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi?

Hutumiki
Inadaiwa
Ni kweli
Sio kweli
Explanation:

Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi kulingana na muktadha wa sentensi.