Grade 6 Kiswahili – Nahau Za Kazi Na Ushirikiano Quiz

1. Maneno yenye maana fiche huitwaje?

Vitanza ndimi
Visawe
Nahau/misemo
Vitawe
Explanation:

2. Mini maana ya piga jeki?

Chapa jeki
Fanya kazi kwa bidii
Saidia
Kujitolea
Explanation:

3. Chagua nahau iliyo na maana moja na piga jeki

Shika mkono
Tia bidii
Chapa kazi
Change bia
Explanation:

4. Maana ya kuchanga via ni___

Changisha pesa
Apana pesa
Shirikiana katika jambo
Tafuta pesa
Explanation:

5. Eleza maana ya kujifungua nira

Kujitolea
Kujiyoa mzigo
Kujitahidi katika jambo
Kujifungua minyororo
Explanation:

6. Ni nahau gani inaweza kutumika katika sentensi hii ili kudumisha maana take? Rhoda alijikaza kisabuni hadi akapita mtihani

Piga jeki
Chapa kazi
Tia bidii
Changa bia
Explanation:

7. Wanafunzi waliamua kuchanga via katika masomo ili wawwze kufauli; fafanua

Wanafunzi walishirikiana masomoni
Wanafunzi walichangisha pesa ya karo
Wanafunzi walishika masomo mkono
Wanafunzi walipiga jwki masomo
Explanation:

8. Mwalimu alimshika Maria mkono had I akafaulu; fafanua

Mwalimu alimsaidia Maria kwa masomo yake
Mwalimu alipiga maria jeki katika masomo
Mwalimu alichanga bia ndio maria akafaulu
Mwalimu alitia biddii katika masomobya maria
Explanation:

9. Chagua nahau yenye maana sawa na kujifungua nira;

Chapa kazi
Changa bia
Piga jeki
Shika mkono
Explanation:

10. Baba alichapa kazivhadi akapandishwa cheo? Baba alifanya nini___

Fanya kazi kwa bidii
Changa bia
Shika kazi mkono
Piga jeki
Explanation:

11. Eleza maana ya nahau; Acha mkono

Enda zako
Acha mkoba
Kufa moyo
Fariki
Explanation:

12. Eleza maana ya nahau; Via macho

Kuwa kipofu
Kondoa macho
Tazama kwa makini
Vaa miwani
Explanation:

13. Eleza maana ya nahau; Vunja mbavu

Piga
Chekesha
Kuua
Kosana
Explanation:

14. Eleza maana ya nahau; Vuta pumzi

Vita hewa
Pata mapumziko
Nusa hewani
Vuta hewa
Explanation:

15. Eleza maana ya nahau; Tumbo moto

Kata kauli
Wasiwasi
Madhara
Chomeka tumbo
Explanation:

16. Eleza maana ya nahau Piga darubini

kata kauli
chapa darubini
Fanya uchunguzi
jenga darubini
Explanation:

17. Eleza maana ya nahau Piga hatua

endelea
chapa hatua na mtu
baki vilevile
kata kamba
Explanation:

18. Eleza maana ya nahau Piga moyo konde

Liwaza
kupiga chafya
Fanya moyo kuwa mkonde
kukonda moyo
Explanation:

19. Eleza maana ya nahau Kata kamba

Gawa kamba mara kadhaa
katisha kamba vipande viwili
uza kamba
aga dunia
Explanation:

20. Eleza maana ya nahau; pigwa kalamu

futwa kazi
chorwa
pewa kalamu
ajiriwa
Explanation:

21. Eleza maana ya nahau; Kandaa meza

tandika meza
osha meza
tayarisha chakula
tengeneza meza
Explanation:

22. Eleza maana ya msemo ; Pua na mdomo

uso
karibu
mrembo
ona vizuri
Explanation:

23. Eleza maana ya msemo ; Kiguu na njia

kutotulia
mguu na njia
urefu
utulizu
Explanation:

24. Eleza maana ya msemo ; Mkono wa mbirika

mkono mfupi
mchoyo
mkono mnono
mkono uliifunguka
Explanation:

25. Eleza maana ya msemo ; Shingo upande

angalia vyema
bila kupenda
kwa pupa
kwa haraka
Explanation:

26. Ni vipi mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi?

Kwa kufanya kazi yeye mwenyewe
Kwa kutotoa majukumu kabisa
Kwa uaminifu na upeo wa juu
Kwa kufanya kazi kwa upande wa pili
Explanation:

Mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi kwa uaminifu na upeo wa juu ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

27. Ni vipi wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni?

Kwa kusaidiana na wenzao
Kwa kutegemea wengine
Kwa kujua majukumu yao tu
Kwa kufanya mambo kiholela
Explanation:

Wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni kwa kusaidiana na wenzao ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

28. Ni jambo gani linaloweza kutokea kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni?

Matokeo yasiyowakilisha chochote
Matokeo mazuri
Matokeo mabaya
Matokeo yasiyopimika
Explanation:

Kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni, matokeo yatakuwa mazuri na yenye tija kwa wanafunzi wote.

29. Ni kitu gani kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni?

Kuwajibika kwa kila mwanafunzi
Kufanya mambo kwa mazoea tu
Kutokuwa na ushirikiano
Kutokuwa na mipango
Explanation:

Kuwajibika kwa kila mwanafunzi ndio kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni na kuongeza tija kwa wanafunzi wote.

30. Ni jambo gani la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni?

Kufanya kazi kwa kujitenga na wenzao
Kushirikiana na wenzao
Kufuata sheria kiholela
Kutokuwa na malengo kabisa
Explanation:

Kushirikiana na wenzao ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni kwa kuwezesha kufikia matokeo mazuri zaidi.

31. Nahau za kazi ni zipi kati ya zifuatazo?

Nahau ya Kishada, Nahau ya Kanuni, Nahau ya Mchanganyiko
Nahau ya Matumizi, Nahau ya Utungaji, Nahau ya Majina
Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuwa, Nahau ya Kuja
Nahau ya Nafsi, Nahau ya Tendo, Nahau ya Mali
Explanation:

Nahau za kazi ni pamoja na Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuja, na Nahau ya Kuwa.

32. Nahau ya kazi inajulisha nini?

Jina la kitu kinachotendwa na kiima
Kitenzi kinachofanya kazi kutafitiwa
Nahau ya mchanganyiko kufundishwa
Nafsi ya kitendaji kufahamika
Explanation:

Nahau ya kazi inajulisha kazi inayoendelezwa na kitenzi.

33. Nahau za kazi hutumika vipi katika sentensi?

Kuonyesha mtendaji, kuelezea furaha au huzuni, kufanya tendo kuwa la lazima
Kuwaelekeza wengine, kushirikisha wasikilizaji, kusisitiza uhusiano, kuweka kiima kabla ya kitendaji
Kutaja wakati wa tendo, kufupisha sentensi, kuinua maudhui
Kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, kubainisha kitendaji
Explanation:

Nahau za kazi hutumika katika sentensi kwa kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, na kubainisha kitendaji.

34. Kazi ya Nahau za ushirikiano ni ipi kati ya zilizotajwa?

Kuelekeza, kujibu, kuthibitisha
Nahau ya kutendewa, Nahau ya kutendea, Nahau ya kufanyiana
Kusisitiza, kuthibitisha, kuegemea
Kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, kufupisha maneno
Explanation:

Kazi ya Nahau za ushirikiano ni kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, na kufupisha maneno katika sentensi.

35. Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi?

Inadaiwa
Hutumiki
Ni kweli
Sio kweli
Explanation:

Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi kulingana na muktadha wa sentensi.