Grade 6 Kiswahili – Nahau Za Kazi Na Ushirikiano Quiz

1. Maneno yenye maana fiche huitwaje?

Visawe
Vitanza ndimi
Vitawe
Nahau/misemo
Explanation:

2. Mini maana ya piga jeki?

Saidia
Fanya kazi kwa bidii
Chapa jeki
Kujitolea
Explanation:

3. Chagua nahau iliyo na maana moja na piga jeki

Chapa kazi
Change bia
Shika mkono
Tia bidii
Explanation:

4. Maana ya kuchanga via ni___

Apana pesa
Tafuta pesa
Changisha pesa
Shirikiana katika jambo
Explanation:

5. Eleza maana ya kujifungua nira

Kujitahidi katika jambo
Kujitolea
Kujifungua minyororo
Kujiyoa mzigo
Explanation:

6. Ni nahau gani inaweza kutumika katika sentensi hii ili kudumisha maana take? Rhoda alijikaza kisabuni hadi akapita mtihani

Piga jeki
Tia bidii
Changa bia
Chapa kazi
Explanation:

7. Wanafunzi waliamua kuchanga via katika masomo ili wawwze kufauli; fafanua

Wanafunzi walipiga jwki masomo
Wanafunzi walishika masomo mkono
Wanafunzi walichangisha pesa ya karo
Wanafunzi walishirikiana masomoni
Explanation:

8. Mwalimu alimshika Maria mkono had I akafaulu; fafanua

Mwalimu alichanga bia ndio maria akafaulu
Mwalimu alipiga maria jeki katika masomo
Mwalimu alimsaidia Maria kwa masomo yake
Mwalimu alitia biddii katika masomobya maria
Explanation:

9. Chagua nahau yenye maana sawa na kujifungua nira;

Piga jeki
Shika mkono
Changa bia
Chapa kazi
Explanation:

10. Baba alichapa kazivhadi akapandishwa cheo? Baba alifanya nini___

Fanya kazi kwa bidii
Changa bia
Piga jeki
Shika kazi mkono
Explanation:

11. Eleza maana ya nahau; Acha mkono

Fariki
Enda zako
Acha mkoba
Kufa moyo
Explanation:

12. Eleza maana ya nahau; Via macho

Vaa miwani
Tazama kwa makini
Kuwa kipofu
Kondoa macho
Explanation:

13. Eleza maana ya nahau; Vunja mbavu

Chekesha
Kosana
Kuua
Piga
Explanation:

14. Eleza maana ya nahau; Vuta pumzi

Vita hewa
Pata mapumziko
Nusa hewani
Vuta hewa
Explanation:

15. Eleza maana ya nahau; Tumbo moto

Wasiwasi
Kata kauli
Madhara
Chomeka tumbo
Explanation:

16. Eleza maana ya nahau Piga darubini

jenga darubini
Fanya uchunguzi
kata kauli
chapa darubini
Explanation:

17. Eleza maana ya nahau Piga hatua

endelea
kata kamba
baki vilevile
chapa hatua na mtu
Explanation:

18. Eleza maana ya nahau Piga moyo konde

Fanya moyo kuwa mkonde
Liwaza
kupiga chafya
kukonda moyo
Explanation:

19. Eleza maana ya nahau Kata kamba

uza kamba
Gawa kamba mara kadhaa
aga dunia
katisha kamba vipande viwili
Explanation:

20. Eleza maana ya nahau; pigwa kalamu

pewa kalamu
ajiriwa
futwa kazi
chorwa
Explanation:

21. Eleza maana ya nahau; Kandaa meza

osha meza
tayarisha chakula
tengeneza meza
tandika meza
Explanation:

22. Eleza maana ya msemo ; Pua na mdomo

ona vizuri
uso
karibu
mrembo
Explanation:

23. Eleza maana ya msemo ; Kiguu na njia

utulizu
mguu na njia
kutotulia
urefu
Explanation:

24. Eleza maana ya msemo ; Mkono wa mbirika

mkono uliifunguka
mkono mfupi
mchoyo
mkono mnono
Explanation:

25. Eleza maana ya msemo ; Shingo upande

bila kupenda
kwa haraka
kwa pupa
angalia vyema
Explanation:

26. Ni vipi mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi?

Kwa uaminifu na upeo wa juu
Kwa kufanya kazi kwa upande wa pili
Kwa kufanya kazi yeye mwenyewe
Kwa kutotoa majukumu kabisa
Explanation:

Mwalimu mmoja anavyotoa majukumu kwa wanafunzi kwa uaminifu na upeo wa juu ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

27. Ni vipi wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni?

Kwa kutegemea wengine
Kwa kujua majukumu yao tu
Kwa kufanya mambo kiholela
Kwa kusaidiana na wenzao
Explanation:

Wanafunzi wanavyowajibika katika kutekeleza majukumu yao shuleni kwa kusaidiana na wenzao ni mfano wa Nahau ya kazi na ushirikiano.

28. Ni jambo gani linaloweza kutokea kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni?

Matokeo mazuri
Matokeo yasiyowakilisha chochote
Matokeo mabaya
Matokeo yasiyopimika
Explanation:

Kama kila mwanafunzi atatekeleza majukumu yake vizuri shuleni, matokeo yatakuwa mazuri na yenye tija kwa wanafunzi wote.

29. Ni kitu gani kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni?

Kutokuwa na mipango
Kutokuwa na ushirikiano
Kufanya mambo kwa mazoea tu
Kuwajibika kwa kila mwanafunzi
Explanation:

Kuwajibika kwa kila mwanafunzi ndio kinachosababisha kazi zifanyike kwa ufanisi shuleni na kuongeza tija kwa wanafunzi wote.

30. Ni jambo gani la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni?

Kushirikiana na wenzao
Kufanya kazi kwa kujitenga na wenzao
Kufuata sheria kiholela
Kutokuwa na malengo kabisa
Explanation:

Kushirikiana na wenzao ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo ya kila mwanafunzi shuleni kwa kuwezesha kufikia matokeo mazuri zaidi.

31. Nahau za kazi ni zipi kati ya zifuatazo?

Nahau ya Nafsi, Nahau ya Tendo, Nahau ya Mali
Nahau ya Matumizi, Nahau ya Utungaji, Nahau ya Majina
Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuwa, Nahau ya Kuja
Nahau ya Kishada, Nahau ya Kanuni, Nahau ya Mchanganyiko
Explanation:

Nahau za kazi ni pamoja na Nahau ya Kutenda, Nahau ya Kuja, na Nahau ya Kuwa.

32. Nahau ya kazi inajulisha nini?

Nafsi ya kitendaji kufahamika
Jina la kitu kinachotendwa na kiima
Kitenzi kinachofanya kazi kutafitiwa
Nahau ya mchanganyiko kufundishwa
Explanation:

Nahau ya kazi inajulisha kazi inayoendelezwa na kitenzi.

33. Nahau za kazi hutumika vipi katika sentensi?

Kuwaelekeza wengine, kushirikisha wasikilizaji, kusisitiza uhusiano, kuweka kiima kabla ya kitendaji
Kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, kubainisha kitendaji
Kuonyesha mtendaji, kuelezea furaha au huzuni, kufanya tendo kuwa la lazima
Kutaja wakati wa tendo, kufupisha sentensi, kuinua maudhui
Explanation:

Nahau za kazi hutumika katika sentensi kwa kuelezea eneo la tendo, kufafanua kwa undani, kuongeza matamshi, na kubainisha kitendaji.

34. Kazi ya Nahau za ushirikiano ni ipi kati ya zilizotajwa?

Kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, kufupisha maneno
Kusisitiza, kuthibitisha, kuegemea
Nahau ya kutendewa, Nahau ya kutendea, Nahau ya kufanyiana
Kuelekeza, kujibu, kuthibitisha
Explanation:

Kazi ya Nahau za ushirikiano ni kuuweka mjumbe mbele, kuweka mjumbe nyuma, na kufupisha maneno katika sentensi.

35. Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi?

Hutumiki
Inadaiwa
Sio kweli
Ni kweli
Explanation:

Kufupisha maneno kunaweza kufanyika pia kwa Nahau za kazi kulingana na muktadha wa sentensi.