Grade 6 Kiswahili – Silabi Za Sauti Mbalimbali Quiz

1. Mini maana ya silabi

Ni sauti mbalimbali
Aina za maneno
Tamko kamili la sauti
Aina ya vitanza ndimi
Explanation:

2. Sentensi zenye mfuato wa sauti zinazotatanisha kimatamshi huitwaje?

Misamiati
Tanakali za sauti
Vitanza ndimi
Silabi
Explanation:

3. Tambua sauti zinazotatanisha

M/n
F/b
a/u
d/nd
Explanation:

4. Taja maneno yenye sauti tatanishi

Adabu! Adhabu
Mama/ baba
We we/mimi
Kalamu/ kitabu
Explanation:

5. Tambua mfano wa silabi

Nj
Ng'aa
Mama
Mimi
Explanation:

6. Tambua kitanza ndimi kari ya sentensi hizi

Waaichana hawa ni warembo
Mbwa koko mwenye njaa alienda kwenye jaa lililokuwa limejaa
Mwalimu ameingia darasani
Kesho tutakwenda shuleni
Explanation:

7. Chagua vitanza ndimi

Mimi ni mwanafunzi hodari
Kalamu ya mwalimu imeangika pipani
Jogoo aliwika alipomwona njongoo
Mwalimu wetu hufunza kwa ufasaha
Explanation:

8. Ni sentensi gani ambayo haina maneno tatanishi?

Nyumba yetu ina milango miwili
Haba na haba hujaza kubaba
Mama alitumia njugu kupikia njugu
Alipokuwa katika njozi aliota akitunukiwa jozi viatu
Explanation:

9. Uda sentensi moja yenye maneno tatanishi

Mwalimu alipomaliza kuguza alienda shambani kulima
Mwanafuzi alipewa adhabu na mwalimu baada ya kukosa adabu
Mama alitupikia chakule kitamu
Mtoto mchanga alililia tunda ila lilikuwa kali
Explanation:

10. Tambua silabi zisizo na utatanishi

F/v
Ng'/ ng
Ng/v
P/t
Explanation:

11. Tambua methali yenye vitanza ndimi

Dalili ya mvua ni mawingu
Mtoto akililia wembe mpe
Haba na haba hujaza kibaba
Asiyeskia la mkuu huvunjika guu
Explanation:

12. Tambua silazi zenye sauti tatanishi

u/o
g/j
dh/th
a/u
Explanation:

13. Jaza sentensi kwa kutumia silabi sahihi; Mama ame____ kuni

changa
chanja
jaja
shaja
Explanation:

14. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Nimetembea sana mpaka nime___

choka
joka
shoka
njoka
Explanation:

15. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Mwalimu alim_____mwanafunzi mtukutu

dhalilisha
dharirisha
thalilisha
dalilisha
Explanation:

16. Gari lili___ nanga

goa
ng'oa
ngoa
noa
Explanation:

17. Umati mkubwa uli____ raisi aliposimama

shangiria
shangilia
jangilia
changilia
Explanation:

18. Alichora picha ya ___ vya mwili

fiungo
vifungo
viungo
viugo
Explanation:

19. Mtoto ali____ ugonjwa hatari

agua
ungua
angua
ugua
Explanation:

20. Kulikuwemo na ____ la corona

janga
jaga
njaga
njanga
Explanation: