Grade 6 Kiswahili – Silabi Za Sauti Mbalimbali Quiz

1. Mini maana ya silabi

Ni sauti mbalimbali
Tamko kamili la sauti
Aina ya vitanza ndimi
Aina za maneno
Explanation:

2. Sentensi zenye mfuato wa sauti zinazotatanisha kimatamshi huitwaje?

Misamiati
Vitanza ndimi
Tanakali za sauti
Silabi
Explanation:

3. Tambua sauti zinazotatanisha

M/n
a/u
F/b
d/nd
Explanation:

4. Taja maneno yenye sauti tatanishi

Mama/ baba
We we/mimi
Kalamu/ kitabu
Adabu! Adhabu
Explanation:

5. Tambua mfano wa silabi

Mama
Nj
Mimi
Ng'aa
Explanation:

6. Tambua kitanza ndimi kari ya sentensi hizi

Mwalimu ameingia darasani
Mbwa koko mwenye njaa alienda kwenye jaa lililokuwa limejaa
Waaichana hawa ni warembo
Kesho tutakwenda shuleni
Explanation:

7. Chagua vitanza ndimi

Kalamu ya mwalimu imeangika pipani
Jogoo aliwika alipomwona njongoo
Mimi ni mwanafunzi hodari
Mwalimu wetu hufunza kwa ufasaha
Explanation:

8. Ni sentensi gani ambayo haina maneno tatanishi?

Nyumba yetu ina milango miwili
Haba na haba hujaza kubaba
Alipokuwa katika njozi aliota akitunukiwa jozi viatu
Mama alitumia njugu kupikia njugu
Explanation:

9. Uda sentensi moja yenye maneno tatanishi

Mwalimu alipomaliza kuguza alienda shambani kulima
Mama alitupikia chakule kitamu
Mtoto mchanga alililia tunda ila lilikuwa kali
Mwanafuzi alipewa adhabu na mwalimu baada ya kukosa adabu
Explanation:

10. Tambua silabi zisizo na utatanishi

Ng/v
P/t
F/v
Ng'/ ng
Explanation:

11. Tambua methali yenye vitanza ndimi

Mtoto akililia wembe mpe
Dalili ya mvua ni mawingu
Asiyeskia la mkuu huvunjika guu
Haba na haba hujaza kibaba
Explanation:

12. Tambua silazi zenye sauti tatanishi

dh/th
a/u
g/j
u/o
Explanation:

13. Jaza sentensi kwa kutumia silabi sahihi; Mama ame____ kuni

jaja
chanja
shaja
changa
Explanation:

14. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Nimetembea sana mpaka nime___

joka
choka
shoka
njoka
Explanation:

15. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Mwalimu alim_____mwanafunzi mtukutu

dharirisha
dalilisha
dhalilisha
thalilisha
Explanation:

16. Gari lili___ nanga

noa
ngoa
goa
ng'oa
Explanation:

17. Umati mkubwa uli____ raisi aliposimama

changilia
jangilia
shangilia
shangiria
Explanation:

18. Alichora picha ya ___ vya mwili

vifungo
fiungo
viungo
viugo
Explanation:

19. Mtoto ali____ ugonjwa hatari

ugua
ungua
agua
angua
Explanation:

20. Kulikuwemo na ____ la corona

njaga
janga
jaga
njanga
Explanation: