1. Mini maana ya silabi
Ni sauti mbalimbali
Aina za maneno
Tamko kamili la sauti
Aina ya vitanza ndimi
2. Sentensi zenye mfuato wa sauti zinazotatanisha kimatamshi huitwaje?
Misamiati
Tanakali za sauti
Vitanza ndimi
Silabi
3. Tambua sauti zinazotatanisha
M/n
F/b
a/u
d/nd
4. Taja maneno yenye sauti tatanishi
Adabu! Adhabu
Mama/ baba
We we/mimi
Kalamu/ kitabu
5. Tambua mfano wa silabi
Nj
Ng'aa
Mama
Mimi
6. Tambua kitanza ndimi kari ya sentensi hizi
Waaichana hawa ni warembo
Mbwa koko mwenye njaa alienda kwenye jaa lililokuwa limejaa
Mwalimu ameingia darasani
Kesho tutakwenda shuleni
7. Chagua vitanza ndimi
Mimi ni mwanafunzi hodari
Kalamu ya mwalimu imeangika pipani
Jogoo aliwika alipomwona njongoo
Mwalimu wetu hufunza kwa ufasaha
8. Ni sentensi gani ambayo haina maneno tatanishi?
Nyumba yetu ina milango miwili
Haba na haba hujaza kubaba
Mama alitumia njugu kupikia njugu
Alipokuwa katika njozi aliota akitunukiwa jozi viatu
9. Uda sentensi moja yenye maneno tatanishi
Mwalimu alipomaliza kuguza alienda shambani kulima
Mwanafuzi alipewa adhabu na mwalimu baada ya kukosa adabu
Mama alitupikia chakule kitamu
Mtoto mchanga alililia tunda ila lilikuwa kali
10. Tambua silabi zisizo na utatanishi
F/v
Ng'/ ng
Ng/v
P/t
11. Tambua methali yenye vitanza ndimi
Dalili ya mvua ni mawingu
Mtoto akililia wembe mpe
Haba na haba hujaza kibaba
Asiyeskia la mkuu huvunjika guu
12. Tambua silazi zenye sauti tatanishi
u/o
g/j
dh/th
a/u
13. Jaza sentensi kwa kutumia silabi sahihi;
Mama ame____ kuni
changa
chanja
jaja
shaja
14. Jaza pengo kwa silabi sahihi.
Nimetembea sana mpaka nime___
choka
joka
shoka
njoka
15. Jaza pengo kwa silabi sahihi.
Mwalimu alim_____mwanafunzi mtukutu
dhalilisha
dharirisha
thalilisha
dalilisha
16. Gari lili___ nanga
goa
ng'oa
ngoa
noa
17. Umati mkubwa uli____ raisi aliposimama
shangiria
shangilia
jangilia
changilia
18. Alichora picha ya ___ vya mwili
fiungo
vifungo
viungo
viugo
19. Mtoto ali____ ugonjwa hatari
agua
ungua
angua
ugua
20. Kulikuwemo na ____ la corona
janga
jaga
njaga
njanga