1. Mini maana ya silabi
Tamko kamili la sauti
Ni sauti mbalimbali
Aina za maneno
Aina ya vitanza ndimi
2. Sentensi zenye mfuato wa sauti zinazotatanisha kimatamshi huitwaje?
Tanakali za sauti
Misamiati
Vitanza ndimi
Silabi
3. Tambua sauti zinazotatanisha
a/u
M/n
F/b
d/nd
4. Taja maneno yenye sauti tatanishi
Mama/ baba
Adabu! Adhabu
We we/mimi
Kalamu/ kitabu
5. Tambua mfano wa silabi
Mimi
Nj
Mama
Ng'aa
6. Tambua kitanza ndimi kari ya sentensi hizi
Kesho tutakwenda shuleni
Mwalimu ameingia darasani
Mbwa koko mwenye njaa alienda kwenye jaa lililokuwa limejaa
Waaichana hawa ni warembo
7. Chagua vitanza ndimi
Mimi ni mwanafunzi hodari
Mwalimu wetu hufunza kwa ufasaha
Jogoo aliwika alipomwona njongoo
Kalamu ya mwalimu imeangika pipani
8. Ni sentensi gani ambayo haina maneno tatanishi?
Nyumba yetu ina milango miwili
Haba na haba hujaza kubaba
Alipokuwa katika njozi aliota akitunukiwa jozi viatu
Mama alitumia njugu kupikia njugu
9. Uda sentensi moja yenye maneno tatanishi
Mtoto mchanga alililia tunda ila lilikuwa kali
Mama alitupikia chakule kitamu
Mwalimu alipomaliza kuguza alienda shambani kulima
Mwanafuzi alipewa adhabu na mwalimu baada ya kukosa adabu
10. Tambua silabi zisizo na utatanishi
F/v
Ng'/ ng
Ng/v
P/t
11. Tambua methali yenye vitanza ndimi
Asiyeskia la mkuu huvunjika guu
Haba na haba hujaza kibaba
Dalili ya mvua ni mawingu
Mtoto akililia wembe mpe
12. Tambua silazi zenye sauti tatanishi
dh/th
u/o
a/u
g/j
13. Jaza sentensi kwa kutumia silabi sahihi;
Mama ame____ kuni
changa
jaja
shaja
chanja
14. Jaza pengo kwa silabi sahihi.
Nimetembea sana mpaka nime___
shoka
choka
joka
njoka
15. Jaza pengo kwa silabi sahihi.
Mwalimu alim_____mwanafunzi mtukutu
dalilisha
dharirisha
dhalilisha
thalilisha
16. Gari lili___ nanga
noa
ng'oa
goa
ngoa
17. Umati mkubwa uli____ raisi aliposimama
shangiria
shangilia
jangilia
changilia
18. Alichora picha ya ___ vya mwili
fiungo
viungo
vifungo
viugo
19. Mtoto ali____ ugonjwa hatari
agua
ungua
angua
ugua
20. Kulikuwemo na ____ la corona
njaga
jaga
njanga
janga