Grade 6 Kiswahili – Silabi Za Sauti Mbalimbali Quiz

1. Mini maana ya silabi

Tamko kamili la sauti
Ni sauti mbalimbali
Aina za maneno
Aina ya vitanza ndimi
Explanation:

2. Sentensi zenye mfuato wa sauti zinazotatanisha kimatamshi huitwaje?

Tanakali za sauti
Misamiati
Vitanza ndimi
Silabi
Explanation:

3. Tambua sauti zinazotatanisha

a/u
M/n
F/b
d/nd
Explanation:

4. Taja maneno yenye sauti tatanishi

Mama/ baba
Adabu! Adhabu
We we/mimi
Kalamu/ kitabu
Explanation:

5. Tambua mfano wa silabi

Mimi
Nj
Mama
Ng'aa
Explanation:

6. Tambua kitanza ndimi kari ya sentensi hizi

Kesho tutakwenda shuleni
Mwalimu ameingia darasani
Mbwa koko mwenye njaa alienda kwenye jaa lililokuwa limejaa
Waaichana hawa ni warembo
Explanation:

7. Chagua vitanza ndimi

Mimi ni mwanafunzi hodari
Mwalimu wetu hufunza kwa ufasaha
Jogoo aliwika alipomwona njongoo
Kalamu ya mwalimu imeangika pipani
Explanation:

8. Ni sentensi gani ambayo haina maneno tatanishi?

Nyumba yetu ina milango miwili
Haba na haba hujaza kubaba
Alipokuwa katika njozi aliota akitunukiwa jozi viatu
Mama alitumia njugu kupikia njugu
Explanation:

9. Uda sentensi moja yenye maneno tatanishi

Mtoto mchanga alililia tunda ila lilikuwa kali
Mama alitupikia chakule kitamu
Mwalimu alipomaliza kuguza alienda shambani kulima
Mwanafuzi alipewa adhabu na mwalimu baada ya kukosa adabu
Explanation:

10. Tambua silabi zisizo na utatanishi

F/v
Ng'/ ng
Ng/v
P/t
Explanation:

11. Tambua methali yenye vitanza ndimi

Asiyeskia la mkuu huvunjika guu
Haba na haba hujaza kibaba
Dalili ya mvua ni mawingu
Mtoto akililia wembe mpe
Explanation:

12. Tambua silazi zenye sauti tatanishi

dh/th
u/o
a/u
g/j
Explanation:

13. Jaza sentensi kwa kutumia silabi sahihi; Mama ame____ kuni

changa
jaja
shaja
chanja
Explanation:

14. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Nimetembea sana mpaka nime___

shoka
choka
joka
njoka
Explanation:

15. Jaza pengo kwa silabi sahihi. Mwalimu alim_____mwanafunzi mtukutu

dalilisha
dharirisha
dhalilisha
thalilisha
Explanation:

16. Gari lili___ nanga

noa
ng'oa
goa
ngoa
Explanation:

17. Umati mkubwa uli____ raisi aliposimama

shangiria
shangilia
jangilia
changilia
Explanation:

18. Alichora picha ya ___ vya mwili

fiungo
viungo
vifungo
viugo
Explanation:

19. Mtoto ali____ ugonjwa hatari

agua
ungua
angua
ugua
Explanation:

20. Kulikuwemo na ____ la corona

njaga
jaga
njanga
janga
Explanation: