Grade 6 Kiswahili – Vivumishi Viashiria Quiz
1. Aina ya kivumishi vinavyoonyesha mahali nomino ipo huitwaje?
2. Tambua kivumishi kiashiria
3. Tumia kivumishi kiashiria kinachofaa; Kalamu___ni yangu
4. Tumia kivumishi kiashiria kinachofaa ; Mwanafunzi ___hodari ametunzwa
5. Tambua kivumishi kiashiria Kitabu Niko cheuoe kimesomwa
6. Jaza pengo; Mkoba ___ mwekundu umeraruka
7. Nini wingi wa kivumishi "Haya"?
8. Jaza pengo; Wezi___walikamatwa
9. Jaza pengo; Kisu__ni kikali
10. Chagua vivumishi vishiria kati ya maneno haya:
'Yote' ni mfano wa vivumishi vya shiria vinavyoonyesha kitu ambacho ni kamili au kikamilifu.